Movie iliyowahi kukutoa machozi....

A Time to Kill

Theatrical release poster
Directed byJoel Schumacher
Produced byArnon Milchan
John Grisham
Michael Nathanson
Hunt Lowry
Screenplay byAkiva Goldsman
Based onA Time to Kill
by John Grisham
StarringMatthew McConaughey
Samuel L. Jackson
Sandra Bullock
Kevin Spacey
Ashley Judd
Donald Sutherland
Oliver Platt
Kiefer Sutherland
Charles S. Dutton
Chris Cooper
Patrick McGoohan
Music byElliot Goldenthal
CinematographyPeter Menzies Jr.
Editing byWilliam Steinkamp
StudioRegency Enterprises
Distributed byWarner Bros.
Release date(s)
  • July 24, 1996 (1996-07-24)

Running time149 minutes
CountryUnited States
LanguageEnglish
Budget$40 million (est) [SUP][1][/SUP]
Box office$152,266,007[SUP][1][/SUP]
 
Hii ilitaka kuniulia mama yangu,wakati akiendelea kuiangalia mara chali!! Presha juu,mbio hospital hajitambui,baada ya hapo hataki kuangalia hata taarifa ya habari.

hii movie iliua watu si chini ya 152 (ile movie ya kwanza original iliyokuwa inaonyeshwa kwenye theater kabla haijaingizwa uraiani.Israel waliipiga marufuku wakidai wamezidisha chumvi na wanatafuta kudhalilisha taifa lao. ikabidi irudiwe tena ili kuppozwa ndo ikaingizwa uraiani. ila wataalamu wa mambo ya kale wanasema hiyo movie ya kwanza kidogo ndo ilikua walau kwa mbali inakaribia kufikia reality ya kitu gani BWANA Yesu alifanyiwa. kwa hiyo hii tunayoangalia ni kwamba imeshachakachuliwa ili kupunguza mabalaa ingawa bado yalikuwa yanatokea
 
Escape from sobibo vry touching muvi..
Suiside mission ya kinijeria.
Bloodsisters frm nigeria.
Hotel Rwandaa.
Shakazulu.
Not without my daughter.
Yayaa ya kihindi hii ckumbuki jina vzr ile imechezwa na mtt ameact kama bubu so emotional
 
Mi nyingi tu, kulia kulia kwenda mbele.

Ila ukitaka movie touching sana basi angalia za kihindi.
 
BigUp nyote mlochangia Uzi huu naamini kila 1 wetu amepata kitu kwenye Jukwaa hili la BURUDANI kwa upande wangu iliyonigusa ni Film yakiNIGERIA inaitwa THE PRICE kipindi hicho ndo Movie zakinigeria ndo zinaingia! Kiukweli niliumia sana Hasa pale PASTOR KENY anaposusiwa Mtt wakucngiziwa KANISA linamfukuza nakumtoa kwenye NYUMBA na MKEWE Uzalendo ukamshinda kamkimbia duuuh!!!......... Kwa yeyote mwenye Link ya MOVIE zakiNIGERIA plz atupie hapa wandg
 
Back
Top Bottom