Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,786
- 1,710
Memorandum of Understanding si mkataba ni makubaliano ya pande mbili ambayo hayajafikia hatua ya mkataba.
Kawaida pande mbili zinazoshirikiana katika shughuli fulani muhimu hupenda kuweka makubaliano ya ushirikiano wa shughuli zao kwa maandishi. Makubaliano hayo kawaida yanaeleza:
(1) Pande husika katika makubaliano,
(2) Mambo wanayokubaliana na malengo yake,
(3) Majukumu ya kila upande katika ushirikiano, na
(4) Saini za Wawakilishi wa pande mbili.
Ni makubaliano na si mkataba. (It is a gentlemen way of spelling out agreement).
MoU haina nguvu ya kisheria.
Wikipedia ina define MoU hivi
A memorandum of understanding (MOU) is a document describing a bilateral or multilateral agreement between parties. It expresses a convergence of will between the parties, indicating an intended common line of action. It is often used in cases where parties either do not imply a legal commitment or in situations where the parties cannot create a legally enforceable agreement. It is a more formal alternative to a gentlemen's agreement.
Memorandum of Understanding kati ya Makanisa ya Kiprotestanti na Katoliki kwa upande mmoja na Serikali, inatokana na ukweli kuwa Makanisa yamekuwa yakitoa huduma za jamii ambazo ni jukumu la msingi la Serikali. Huduma za Tiba zitolewazo na kanisa ziko zaidi katika maeneo ya vijijini ambako Serikali bado haijaweka huduma hizo. Ushirikiano huo ni msaada mkubwa kwa serikali ambayo ingepasika kuwajibika kwa raia wake wote hata hao wa vijijini kwa huduma hizo.
Vilevile wilaya nyingi zilizoanzishwa miaka ya baadaye baada ya uhuru hazikuwa na hospitali za serikali zenye hadhi ya kuwa Hospitali za wilaya na Serikali imeomba ushirikiano wa Kanisa kutumia hospitali zake kama hospitali teule za wilaya. Mfano: Nkansi, Bunda, Sumve, Rombo n.k.
Kwa haraka nimepitia Hospitali, vituo vya afya na zahanati za makanisa yaliyosaini MoU hiyo na kupata 564. Hizi karibu zote zilikuwepo wakati wa kusaini MoU hiyo.
MoU kati ya Kanisa na Serikali inaongelea suala la huduma za jamii tu, haihusiki na mengineyo.
Suala ya misaada ya fedha si kwa hospitali zote, zaidi ni zile Teule na za rufaa, ambazo Serikali inazihitaji.
Bado Makanisa yanabeba jukumu kubwa la kutafuta fedha kwa ajili ya ujenzi na ukarabati. Waumini wanajua jinsi wanavyochangishwa kwa ajili ya kuchangia ujenzi na ukarabati na wakati mwingine hata kuziendesha taasisi hizo.
Nimeweka attachment ya zahanati, vituo vya afya na Hospitali za Makanisa ili muone jinsi huduma hiyo ilivyoenea vijijini (remote areas).
Nimeweka attachment ya pili ya pdf inayoonesha kuwa Serikali ya Ujerumani inapitishia baadhi ya misaada yake ya huduma za jamii kwenye shirika la misaada la Misereor, ambalo ni la Kikatoliki. Angalia title ya mwisho "MISEREOR has strong Supporters".
Kawaida pande mbili zinazoshirikiana katika shughuli fulani muhimu hupenda kuweka makubaliano ya ushirikiano wa shughuli zao kwa maandishi. Makubaliano hayo kawaida yanaeleza:
(1) Pande husika katika makubaliano,
(2) Mambo wanayokubaliana na malengo yake,
(3) Majukumu ya kila upande katika ushirikiano, na
(4) Saini za Wawakilishi wa pande mbili.
Ni makubaliano na si mkataba. (It is a gentlemen way of spelling out agreement).
MoU haina nguvu ya kisheria.
Wikipedia ina define MoU hivi
A memorandum of understanding (MOU) is a document describing a bilateral or multilateral agreement between parties. It expresses a convergence of will between the parties, indicating an intended common line of action. It is often used in cases where parties either do not imply a legal commitment or in situations where the parties cannot create a legally enforceable agreement. It is a more formal alternative to a gentlemen's agreement.
Memorandum of Understanding kati ya Makanisa ya Kiprotestanti na Katoliki kwa upande mmoja na Serikali, inatokana na ukweli kuwa Makanisa yamekuwa yakitoa huduma za jamii ambazo ni jukumu la msingi la Serikali. Huduma za Tiba zitolewazo na kanisa ziko zaidi katika maeneo ya vijijini ambako Serikali bado haijaweka huduma hizo. Ushirikiano huo ni msaada mkubwa kwa serikali ambayo ingepasika kuwajibika kwa raia wake wote hata hao wa vijijini kwa huduma hizo.
Vilevile wilaya nyingi zilizoanzishwa miaka ya baadaye baada ya uhuru hazikuwa na hospitali za serikali zenye hadhi ya kuwa Hospitali za wilaya na Serikali imeomba ushirikiano wa Kanisa kutumia hospitali zake kama hospitali teule za wilaya. Mfano: Nkansi, Bunda, Sumve, Rombo n.k.
Kwa haraka nimepitia Hospitali, vituo vya afya na zahanati za makanisa yaliyosaini MoU hiyo na kupata 564. Hizi karibu zote zilikuwepo wakati wa kusaini MoU hiyo.
MoU kati ya Kanisa na Serikali inaongelea suala la huduma za jamii tu, haihusiki na mengineyo.
Suala ya misaada ya fedha si kwa hospitali zote, zaidi ni zile Teule na za rufaa, ambazo Serikali inazihitaji.
Bado Makanisa yanabeba jukumu kubwa la kutafuta fedha kwa ajili ya ujenzi na ukarabati. Waumini wanajua jinsi wanavyochangishwa kwa ajili ya kuchangia ujenzi na ukarabati na wakati mwingine hata kuziendesha taasisi hizo.
Nimeweka attachment ya zahanati, vituo vya afya na Hospitali za Makanisa ili muone jinsi huduma hiyo ilivyoenea vijijini (remote areas).
Nimeweka attachment ya pili ya pdf inayoonesha kuwa Serikali ya Ujerumani inapitishia baadhi ya misaada yake ya huduma za jamii kwenye shirika la misaada la Misereor, ambalo ni la Kikatoliki. Angalia title ya mwisho "MISEREOR has strong Supporters".