Anheuser
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 1,944
- 662
Ukienda mahakamani na madesa kutoka WIKIPEDIA utachekwa na makarani wa mahakama na utafukuziwa front lobby, wala Jaji hutamfikia. Nilidhani utatuelimisha kwa nini "makubaliano" sio "mkataba" kwa mujibu wa maudhui ya vitabu vya sheria ya Tanzania, sio WIKIPEDIA!Wikipedia ina define MoU hivi
A memorandum of understanding (MOU) is a