Mcheck huyo jamaa. Atakusaidia yupo na Jubilee. Wanatoa customer care nzuri sana.0755909999Ndugu zangu nataka kuweka Insurance kwenye mashine zangu za kilimo i.e Tractors. Ni kampuni gani nzuri kwa biashara kama hiyo?
Asante sana, nitafanya hivyoMcheck huyo jamaa. Atakusaidia yupo na Jubilee. Wanatoa customer care nzuri sana.0755909999View attachment 2742496
Nenda ZIC, au Zanzibar insurance wana bima aina mpya ya misingi ya Kiislam, bofya chini hapo ujisomee:Ndugu zangu nataka kuweka Insurance kwenye mashine zangu za kilimo i.e Tractors. Ni kampuni gani nzuri kwa biashara kama hiyo?
Pamoja brother.Asante sana, nitafanya hivyo
Vipi mkuu ulimcheck?Asante sana, nitafanya hivyo
Niliweza kumcheki. Tumeanza maongeziVipi mkuu ulimcheck?