Moto waunguza mitambo ya Vodacom, wadhibitiwa!

Benzoic

JF-Expert Member
Jan 16, 2012
421
149
Naona sipati kila kitu: Internet, calls, mpesa ni majanga.

Mwenye idea anijuze hawa jamaa wamepatwa na janga gani?
Wakuu nimeamua kuleta hapa swala vodacom kwa kuwa hili ni jukwaa mama. Tangu Jana saa 10:30 jioni tumekosa kabisa huduma zote za vodacom. Ninachoona kuwa wameanza hawa wenzetu wameanza kufanya siasa.

Kimewafika nini? Kwanini hawakutupatia taarifa mapema tujue kinachoendelea?


=======
UPDATES:

Tetesi:
Switch zao zilizoko Masaki zimeungua moto...

All subscribers served by MSCs located at Masaki have been affected!
Habari ambazo hazijathibitishwa ni kuwa switch yao ilishika moto. Kama ni kweli nadhani itachukua muda kurudi kwenye hali ya kawaida.
Uthibitisho:
1186283_635637346460651_796051428_n.png
 
Wakuu hii wiki sasa inakwisha internet ya voda imenigomea, vipi na nyinyi ni hivyo hivyo. Voda naikubali sana sababu ilikuwa na spid kali sana. Kama kuna mtu wa voda humu msaada tafadhal modem inapata kutu...!
 
Hata mimi niko Kaskazini imenigomea tangu saa kumi na moja sijajua kama tatizo ni lamuda au ndo aje. Nasikia hata wale 'Hakatwi Mtu' nao ilibuma sometyms mchana
 
Mi washanikata stimu , jana nilinunua bando ya buku 3500 salio langu likakatwa na bando sikupewa hadi mda huu nshawapigia zaidi ya mara 2, lakini jibu ninalopewa nisubiri eti taarifa za matumizi yangu hazionekani kwenye system. So napigwa kalenda tu mara piga baada ya masaa 3 , mara piga saa sita usiku , blah blah zimekua nyingi..
 
Wakuu hii wiki sasa inakwisha internet ya voda imenigomea, vipi na nyinyi ni hivyo hivyo. Voda naikubali sana sababu ilikuwa na spid kali sana. Kama kuna mtu wa voda humu msaada tafadhal modem inapata kutu...!
Hata mawasiliano ya kawaida hakuna man tangia saa kumi
 
Switch zao zilizoko Masaki zinaungua moto muda huu... take it as breaking newz
 
kama kawaida yao. kila baada ya miezi kadhaa huwa wanaharibikiwa siku moja. poweni musichanganyikiwe
 
Back
Top Bottom