Moto waunguza mitambo ya Vodacom, wadhibitiwa!

Ila kuna wateja wengine wa voda wakipigiwa na wateja wa Airtel wanapatikana ila voda to voda imegina!

Kha ha ha ha ha ha ha ha haaaaa!
 
Nafikiri ni nchi nzima. Ni janga, wengi wamekwama kwa ajili ya hili. Nina mgeni sina jinsi ya kujua kama kafika as sina no yake nyingine naye hajui no zangu zingine.
Habari ambazo hazijathibitishwa ni kuwa switch yao ilishika moto kama ni kweli nadhani itachukua muda kurudi kwenye hali ya kawaida.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Habari ambazo hazijathibitishwa ni kuwa switch yao ilishika moto kama ni kweli nadhani itachukua muda kurudi kwenye hali ya kawaida.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Voda wana switch nyingi, hiyo iliyoshika moto ni ipi?
 
Kwa waliopo kwenye telecom industry haswa wale wadau wa CS Core Network (Mobile Switches / Gateways / Servers) ,wale wa Access Network nadhani hili kwao si jambo la kushangaza sana...
Waungwana kiukweli ku-maintain na ku-stabilize network ya mawasiliano ni kati ya kazi zinazoumiza kichwa sana...
 
Nilifikiri labia simu yangu inamatatizo,lakini nilipojaribu kutumia mtandao wa tigo kwenda tigo/airtel simu zinatoka kama kawa.
Lakini voda-voda/tigo/airtel imegoma.
Sijui kama ni Tanzania yote au lah,Ila kwa Dar-UK imegoma kabisa!
Chezea habari za madawa acha wafute waformat server.
 
Habari ambazo hazijathibitishwa ni kuwa switch yao ilishika moto kama ni kweli nadhani itachukua muda kurudi kwenye hali ya kawaida.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Hakuna switch wala nini wale waliopitisha madawa ya kulevya kuna tetesi kuwa line zao zote ni voda kuna ushahidi unafutwa na kutengeneza mazingira salama kwa kampuni ya voda...
 
Nilifikiri labia simu yangu inamatatizo,lakini nilipojaribu kutumia mtandao wa tigo kwenda tigo/airtel simu zinatoka kama kawa.
Lakini voda-voda/tigo/airtel imegoma.
Sijui kama ni Tanzania yote au lah,Ila kwa Dar-UK imegoma kabisa!
Mkuu VODACOM IMEKUFA RASMI!!!
Toka saa 10.30 sijaweza kupata line mpaka ninapoandika sasa kupitia Airtel.
 
nilifikiri labia simu yangu inamatatizo,lakini nilipojaribu kutumia mtandao wa tigo kwenda tigo/airtel simu zinatoka kama kawa.
Lakini voda-voda/tigo/airtel imegoma.
Sijui kama ni tanzania yote au lah,ila kwa dar-uk imegoma kabisa!
vodacom is dead!!!!
 
Hawataki habari ya Mwakyembe kuhusu kuwatimua maofisa wa uwanja wa ndege walioruhusu wauza mihadarati ienee kwa kasi nini ?
 
Ajabu kwa mara ya kwanza napata speed ya ajabu kwa tigo ambapo awali ilikuwa inazingua sana.
 
Back
Top Bottom