iGodmanhustler
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 609
- 337
ni moto mkubwa xana aisee, umeanzia kwenye maduka ya vipodoz na unaendelea kusambaa ovyo. Vibaka wanaiba mali polic wanasambaza wa2 kwa mabomu, hali c shwari jaman. Ni vurugu mtafutano! MOTO WAZIDI KUWAKA KUSAMBAA
ha! Mwenzio kakamata viatu mkononi anatoka nduki,We unamwambia aweke mapichaWeka kapicha basi.