mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,770
- 7,122
ni hatari fire-magari yapo mbali sana na maduka mengi hayana insurance,huu mwanzao wa umaskini
Ngoja nitoe shule kidogo,
Ipo hivi, inapotokea nchi inashndwa kutawalika, ndipo huwa kunahitajika defensive mechanism ya kuhamisha state of mind za watu ili kuwasahaulisha kipi muhim walikuwa wanataka.
Kwa mfano, nchini Uingereza kuna watu special kwa ajil ya kuzibadil fikra za wananchi pale linapotokea jambo la kutishia utulivu,
Sasa serikali yetu inatumia njia hyo kitofauti kidogo kwa kuweka majanga ya makusudi ili kuzihamisha akili za wananchi from point A to B.
Mfano, toka suala la gesi kuanza kuchukua sura mpya,
tumeshuhudia Jahazi kuzama Nungwi,
moto PPF, tena Mwenge. Usishangae kuona majanga haya yakaongezeka zaidi na hata kutisha zaid.
Zote ni defensive mechanism za failure political policy za nchi yetu.
Nawasilisha
Kwa ninavyoujua msongamano wa maduka ya Mwenge, hasa upande wa vipodozi, mitumba, electronics na pale wanaposukwa akina dada, sidhani kama mabanda yamesalimika. Mengi hayana vizimio moto. Wengine ndo wamelipa kodi juzijuzi, na mikopo juu. Mungu awape nguvu na uvumilivu.
Huko Dar jamani kunani?
Laaana zimezidi ndio maana..
Ngoja nitoe shule kidogo,
Ipo hivi, inapotokea nchi inashndwa kutawalika, ndipo huwa kunahitajika defensive mechanism ya kuhamisha state of mind za watu ili kuwasahaulisha kipi muhim walikuwa wanataka.
Kwa mfano, nchini Uingereza kuna watu special kwa ajil ya kuzibadil fikra za wananchi pale linapotokea jambo la kutishia utulivu,
Sasa serikali yetu inatumia njia hyo kitofauti kidogo kwa kuweka majanga ya makusudi ili kuzihamisha akili za wananchi from point A to B.
Mfano, toka suala la gesi kuanza kuchukua sura mpya,
tumeshuhudia Jahazi kuzama Nungwi,
moto PPF, tena Mwenge. Usishangae kuona majanga haya yakaongezeka zaidi na hata kutisha zaid.
Zote ni defensive mechanism za failure political policy za nchi yetu.
Nawasilisha
ha! Mwenzio kakamata viatu mkononi anatoka nduki,We unamwambia aweke mapicha
Na bado gas inakuja, huo moto wake ni balaa!
Ngoja nitoe shule kidogo,
Ipo hivi, inapotokea nchi inashndwa kutawalika, ndipo huwa kunahitajika defensive mechanism ya kuhamisha state of mind za watu ili kuwasahaulisha kipi muhim walikuwa wanataka.
Kwa mfano, nchini Uingereza kuna watu special kwa ajil ya kuzibadil fikra za wananchi pale linapotokea jambo la kutishia utulivu,
Sasa serikali yetu inatumia njia hyo kitofauti kidogo kwa kuweka majanga ya makusudi ili kuzihamisha akili za wananchi from point A to B.
Mfano, toka suala la gesi kuanza kuchukua sura mpya,
tumeshuhudia Jahazi kuzama Nungwi,
moto PPF, tena Mwenge. Usishangae kuona majanga haya yakaongezeka zaidi na hata kutisha zaid.
Zote ni defensive mechanism za failure political policy za nchi yetu.
Nawasilisha