Motivational speakers hawahitajiki nchini kwasababu matatizo tuliyo nayo yanatosha kutukumbusha kufanya kazi kwa bidii na maarifa

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Mar 29, 2012
10,223
22,303
Ukifuatilia wengi wao hakuna biashara wanazofanya na hata wanachohamasisha ni copy & paste kutoka google na vitabuni. Hawa watu hawahitajiki.

Ni upuuzi wa hali ya juu kumlipa pesa Motivational speaker ili akuhamasishe kufanya biashara.

Matatizo tuliyo nayo yanatosha kutuhamasisha kupambana.

Kama hali iliyopo haikuhamasishi basi hata angekuja Motivational speaker toka mbinguni hakuna kitakachotokea.
 
😁😁😁nendeni darasa bn mkapetiwe kwamba unaweza anza biashara kwa 2500
 
Motivation speakers
Mentors
Life coach


Kiufupi nchi ya Tz zaidi ya watu 80% ni unproductive na hawa 20% ni wale wanoishi paycheck to pay check and hand to mouth's Life.


Hivyo Ikiwa hawa watu 80% wasipopata watu wa kuwafungua AKILI maana yake taifa letu litaendea kuwa na vibarua wengi na watu ambao hawana tija.


Sikubaliani na motivation speaker anayezungumza mambo am a yo hayana uhalisia vilevile sikubaliani na hawa watu kutokuepo.


Pia Mentor ni muhimu Sana kuzidi wote hao maana mentor Ana fan ya self-investment na kumpa MTU insight.


Nchi za laana kila kitu hakifai
 
Motivation speakers
Mentors
Life coach


Kiufupi nchi ya Tz zaidi ya watu 80% ni unproductive na hawa 20% ni wale wanoishi paycheck to pay check and hand to mouth's Life.


Hivyo Ikiwa hawa watu 80% wasipopata watu wa kuwafungua AKILI maana yake taifa letu litaendea kuwa na vibarua wengi na watu ambao hawana tija.


Sikubaliani na motivation speaker anayezungumza mambo am a yo hayana uhalisia vilevile sikubaliani na hawa watu kutokuepo.


Pia Mentor ni muhimu Sana kuzidi wote hao maana mentor Ana fan ya self-investment na kumpa MTU insight.


Nchi za laana kila kitu hakifai
Hiyo 80% uliipataje mkuu? Research ulifanya lini? Halafu sisi wote hapa duniani ni wageni sasa anapojitokeza mtu na kujiita Life Coach inamaanisha nini kama sio uchuro?
 
Back
Top Bottom