kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,352
- 12,687
Niliowaona kwenye maandano siku ya mei Mosi, 85% ya wafanyakazi walioandamana mbele ya mgeni rasmi, Makamu wa Rais walikuwa na vitambi, viribatumbo. Yaani body mass index (BMI) zao ziko juu, kwa maana nyingine walikuwa na uzito mkubwa kuliko matarajio.
Maswali ni, je, wafanyakazi walioandamana:
1. Wanawakilisha wafanyakazi walio wengi?
2. Kwa vitambi hivi ni kweli wafanyakazi wano kipato kidogo?
kikubwa?
3. Wanakula rushwa?
4. Wanawaibia waajili wao mali au muda wa mwajili kupata ziada?
5. Wanahitaji nyongeza?
6. hakuna uhusiano kati ya mshahara mkubwa na kuwa na kitambi?
====
Pia soma:
Dkt. Mpango: Serikali imepokea hoja ya kuboresha kikokotoo kwakuwa wafanyakazi hawaridhishwi na kanuni zake
Maswali ni, je, wafanyakazi walioandamana:
1. Wanawakilisha wafanyakazi walio wengi?
2. Kwa vitambi hivi ni kweli wafanyakazi wano kipato kidogo?
kikubwa?
3. Wanakula rushwa?
4. Wanawaibia waajili wao mali au muda wa mwajili kupata ziada?
5. Wanahitaji nyongeza?
6. hakuna uhusiano kati ya mshahara mkubwa na kuwa na kitambi?
====
Pia soma:
Dkt. Mpango: Serikali imepokea hoja ya kuboresha kikokotoo kwakuwa wafanyakazi hawaridhishwi na kanuni zake