paul sylvester
JF-Expert Member
- Mar 18, 2020
- 3,504
- 3,500
Juzi ulisema kanda ya huko ni ya watu wasomi hawashoboki na unachokiandika hapa, vipi tena mkuu.Watu wanaenda kuangalia shoo za kina kiba na diamond
Juzi ulisema kanda ya huko ni ya watu wasomi hawashoboki na unachokiandika hapa, vipi tena mkuu.Watu wanaenda kuangalia shoo za kina kiba na diamond
Hivi hii punieto ya kisiasa bado tu wanaamini itawanusuru na kipigo.Kampuni za mabasi za Mtei, Machame, Lim safari na Costline zimekesha zinasomba watu kutoka Simanjiro, Mwanga, Hai, Siha, Rombo, Same na Arusha.
Wewe ulikuja na upepo wa uchaguzi wa ENL ,sie tupo tangia Chadema wana Dr Slaa humu,wewe ndio utakimbia.jibu lako wiki ijayo tu wala sio mbali
mpungue jamii forums ibakie watu wachache baada ya tarehe hiyo tunajua mtatokomea gizani
Mayowe ya mpiga debe .Kampuni za mabasi za Mtei, Machame, Lim safari na Costline zimekesha zinasomba watu kutoka Simanjiro, Mwanga, Hai, Siha, Rombo, Same na Arusha.
Ulitaka watembee kwa miguu?Kampuni za mabasi za Mtei, Machame, Lim safari na Costline zimekesha zinasomba watu kutoka Simanjiro, Mwanga, Hai, Siha, Rombo, Same na Arusha.
Tupia wewe hiyo pichaHuu uzi ume mute sana. Wekeni na picha. Kuna eneo fulani walijipanga kumpokea naona watu wakakosekana kabisa peupe. Chezea wachagga wewe. Salute shemeji zangu.
Sawa...kwani tatizo liko wapi?! Chadema tembeeni kwa miguu...nyie haya ya kubebwa na malori, pickups, punda, mikokoteni, bodaboda na bajaji hayawahusu...msiteseke bure...Kampuni za mabasi za Mtei, Machame, Lim safari na Costline zimekesha zinasomba watu kutoka Simanjiro, Mwanga, Hai, Siha, Rombo, Same na Arusha.
UKIANGALIA HUKU MOSHI MJINI KWA SIKU YA LEO KILA MTU ANAENDELEA NA SHUGHULI ZAKE NI TOFAUTI NA SIKU ALIOKUJA TUNDU LISU, YANI SHUGHULI ZILISIMAMA KWA MUDA NA BODABODA ZOTE NA BAJAJI ZILIKUA NA BENDERA ZA CHADEMA TENA KWA MAPENZI YAO,Lakini ni juzi tu ulipokuwa ukisema, kanda hiyo haidanganyiki!!
Vipi Leo, kunabakora zilipita majumbani kwenu kulazimisha watu wapande hayo mabasi?
October 28 is only next week, after which JPM will be sworn in again at Mkapa Stadium
Off point.Wapongeze kwa kupiga pesa wewe kweli mpinzani hutaki wapate pesa? upinzani ,mna roho mbaya.Wafanyabiashara wa mabasi msiwape kura kabisa upinzani mnawaona mkipiga pesa kwao nongwa!!!
MAGUFULI: Nawashukuru viongozi wa dini kwa Dua na Sala zao. Ninajua wagombe wenzangu wa ubunge wameeleza yote na mikakati mbalimbali ya chama cha mapinduzi kama ilivyofafanuliwa kwenye Ilani. Nchi yetu imebarikiwa kwa mambo mengi sana, binadamu wa kwanza, mti mrefu, mlima mrefu kuliko yote Afrika, madini ya Tanzanite, Tanzania ni nchi ya pili kuwa na mifugo wengi. ya tatu kwa kuvumbua kiwango kikubwa cha gesi asili na nne kwa kuzalisha dhahabu barani Afrika.
Zaidi ya kilomita 1422 tunapakana na bahari, ina maziwa, mito, misitu, ina vitu mbalimbali. Nchi hii imebarikiwa sana na Mungu. Nchi yetu ni tajiri, miaka mitano iliyopita tumedhihirisha sisi sio masikini, sisi ni matajiri. Tumefanya mambo mengi makubwa tena kwa nguvu zetu wenyewe, najua mengi mnayafahamu.
Katika kipindi cha miaka mitano tuliweza kuanza kukusanya kodi kwa mwezi kutoka bilioni 850 mpaka trilioni 1.5 na kuna baadhi ya miezi tumefika trilioni 1.6. Tumeweza kujenga vituo vya afya, zahanati, kupeleka umeme kwenye vijiji. Kwa kudhihirisha Tanzania ni tajiri tumeanzisha miradi mikubwa. Tumejenga barabara za lami zaidi ya kilomita 3,500 na tunaendelea kujenga kilomita 2,500. Ndege 11, kununua na kujenga radar katika viwanja viwanja vyetu vikubwa kwa kutumia fedha zetu. Tumeanzisha mradi wa kujenga reli ya umeme, treni ambazo zinatumika Ulaya. Ninaweza kutaja miradi mingi langi lengo ni kuwathibitishia wanamoshi tuko pazuri na tunaenda vizuri.
Tumebarikiwa kuwa na nchi tajiri, kinachohitajika ni kupata kiongozi atakaeweza kuutumia utajiri huu kwa manufaa ya watanzania wote. Na mimi naamini hiyo kazi inanifa kwa sababu nimeonesha katika miaka mitano iliyopita. Mimi naamini kazi hiyo inawafaa wabunge wa CCM, madiwani wa CCM kwa sababu tumeiandaa vizuri katika ilani ya uchaguzi.
Lengo kubwa la kushusha bei ya umeme, tunataka tuwe na viwanda vingi. Tunataka viwanda vilivyolala tuvifufue vyote na kwa hapa Kilimanjaro, Moshi tumeanza, palikuwa na kiwanda cha ngozi nafikiri Karanga kilichokuwa chini ya Magereza.
Leo ukienda kwenye kiwanda hicho utafikiri umefika Ulaya, kitakuwa kinatengeneza pea ya viatu kwa mwaka milioni 1.2, bado hujaweka mikufu, mtaitaje ile? Mikoba, unajua sijamnunulia mke wangu mkoba tangu nimuoe kwa hiyo msishangae nikisahau, kwa hiyo mikoba, mikanda na vitu vingine vitaanza kutengenezwa hapa.
===============
Bahati mbaya unajidanya wewe mwenyewe, siyo mbayaUKIANGALIA HUKU MOSHI MJINI KWA SIKU YA LEO KILA MTU ANAENDELEA NA SHUGHULI ZAKE NI TOFAUTI NA SIKU ALIOKUJA TUNDU LISU, YANI SHUGHULI ZILISIMAMA KWA MUDA NA BODABODA ZOTE NA BAJAJI ZILIKUA NA BENDERA ZA CHADEMA TENA KWA MAPENZI YAO,
ILA LEO HAPA MJINI SIJAONA SHAMRA SHAMRA KAMA ZILE ZA TUNDU LISU.
Kwa hiyo unataka kusema Nini..maana inaelekea unateseka Sana..UKIANGALIA HUKU MOSHI MJINI KWA SIKU YA LEO KILA MTU ANAENDELEA NA SHUGHULI ZAKE NI TOFAUTI NA SIKU ALIOKUJA TUNDU LISU, YANI SHUGHULI ZILISIMAMA KWA MUDA NA BODABODA ZOTE NA BAJAJI ZILIKUA NA BENDERA ZA CHADEMA TENA KWA MAPENZI YAO,
ILA LEO HAPA MJINI SIJAONA SHAMRA SHAMRA KAMA ZILE ZA TUNDU LISU.