Morogoro: Dereva bodaboda auawa, atobolewa macho

Boran Jakutay

Senior Member
Apr 8, 2023
110
255
Dereva wa Bodaboda, Oscar Samuel (36) Mkazi wa Mtaa wa Kilongo B Kata ya Mkundi Manispaa ya Morogoro ameuawa kwa kukatwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake kisha kutobolewa macho na Watu wasiojulikana.

Akiongea na @ayotv_ Mdogo wa marehemu, Huruma Samweli amesema May 31,2023 Oscar alimuaga Mkewe anaelekea shambani eneo la CCT Forest Manispaa ya Morogoro na hakurejea tena hadi Juni mosi mwaka huu walipokuta mwili wake umetelekezwa msituni ukiwa na majeraha huku macho yametobolewa na pikipiki haipo.

Mwenyekiti wa Mtaa wa Kilongo B Paul Laurence amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo amesema kwa sasa wanaanza msako kuwatafuta Vijana wote ambao wanakaa vijiweni na kuvuta bangi ili waweze kuchukuliwa hatua kwani huenda ikawa sababu ya matukio kama hayo kutokea katika Mtaa wake.

Chanzo: Millard Ayo
 
Dereva wa Bodaboda, Oscar Samuel (36) Mkazi wa Mtaa wa Kilongo B Kata ya Mkundi Manispaa ya Morogoro ameuawa kwa kukatwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake kisha kutobolewa macho na Watu wasiojulikana.

Akiongea na @ayotv_ Mdogo wa marehemu, Huruma Samweli amesema May 31,2023 Oscar alimuaga Mkewe anaelekea shambani eneo la CCT Forest Manispaa ya Morogoro na hakurejea tena hadi Juni mosi mwaka huu walipokuta mwili wake umetelekezwa msituni ukiwa na majeraha huku macho yametobolewa na pikipiki haipo.

Mwenyekiti wa Mtaa wa Kilongo B Paul Laurence amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo amesema kwa sasa wanaanza msako kuwatafuta Vijana wote ambao wanakaa vijiweni na kuvuta bangi ili waweze kuchukuliwa hatua kwani huenda ikawa sababu ya matukio kama hayo kutokea katika Mtaa wake.

Chanzo: Millard Ayo

Mkurupuko
 
Dereva wa Bodaboda, Oscar Samuel (36) Mkazi wa Mtaa wa Kilongo B Kata ya Mkundi Manispaa ya Morogoro ameuawa kwa kukatwa mapanga sehemu mbalimbali za mwili wake kisha kutobolewa macho na Watu wasiojulikana.

Akiongea na @ayotv_ Mdogo wa marehemu, Huruma Samweli amesema May 31,2023 Oscar alimuaga Mkewe anaelekea shambani eneo la CCT Forest Manispaa ya Morogoro na hakurejea tena hadi Juni mosi mwaka huu walipokuta mwili wake umetelekezwa msituni ukiwa na majeraha huku macho yametobolewa na pikipiki haipo.

Mwenyekiti wa Mtaa wa Kilongo B Paul Laurence amethibitisha kutokea kwa tukio hilo ambapo amesema kwa sasa wanaanza msako kuwatafuta Vijana wote ambao wanakaa vijiweni na kuvuta bangi ili waweze kuchukuliwa hatua kwani huenda ikawa sababu ya matukio kama hayo kutokea katika Mtaa wake.

Chanzo: Millard Ayo
Hawa wasengerema mwizi mmoja kapigwa mvua maisha bado hawakomi 😡😡😡😡😡
 
Kuna stori sijui ka umewahi kuzisikia kuwa kile kiini cha jicho kuwa kinatunza picha ya mtu aliyemuona kwa mara ya mwisho?

Wauaji pengine walikuwa na mindset hiyo wakaogopa ikitokea polisi wanafanya upelelezi halafu wakafika hatua ya kuangalia jicho liliona nini mara ya mwisho si wataweza kuwa exposed

Nadhani ndio sababu ya kumtoboa macho
 
Back
Top Bottom