Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
kamanda enzi hizo ilikua kama uonevu. Kumbe ilikua inasaidia kupata watoto kakamavu wa kiume.
Wadogo siku hizi wanahasara kama anaweza walau kucheza mpira unashukuru bwana.
Siku hizi madogo wanashinda wanaangalia maseries tu....hakuna mpira wala kulima...lol