Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Ulevi wa madaraka ni mbaya sana kuliko hata wa kubugia ugoro.
Eti anawasemea Wamaasai kuwa hawataki katiba mpya?
Kwi kwi kwi kwi kwi kwi kweli shibe ni ulevi pia.
Nimeamini kuwa mtu anayefaidika na utawala ulipo kamwe hawezi kukubali mageuzi.
Watanzania tusife moyo ipo siku tutafanikiwa.
Eti anawasemea Wamaasai kuwa hawataki katiba mpya?
Kwi kwi kwi kwi kwi kwi kweli shibe ni ulevi pia.
Nimeamini kuwa mtu anayefaidika na utawala ulipo kamwe hawezi kukubali mageuzi.
Watanzania tusife moyo ipo siku tutafanikiwa.