Sasa ni namna gani ya kununua kifurushi au mkuu wewe huwa hununui kifurushi??Mi huwa naiwekea salio kupitia AIRTEL MONEY. Au unaweza ukai-ME TO YOU. Au ukairushia salio toka kwa muuzaji yeyote wa vocha.
yea,kurecharge ni lazima utoe laini bt kuuliza salio si unaenda pale kwenye sehem ya msg una opt new sms then unaandika neno salio to 15444.ukipata msg lazima ufungue optn ya inbox ndio usome otherwise huwezi.wajuzi watufahamishe namna ya ku rechage bila kutoa line
Heshima wakuu! Naomba utaalamu wa namna ya kujua salio la kifurushi na namna ya kununua kifurushi nikiwa nimeunganisha modem kwenye laptop. Kwa sasa hadi nitoe laini niweke kwenye simu ndio naweza kuangalia salio na kununua kifurushi.
yea,kurecharge ni lazima utoe laini bt kuuliza salio si unaenda pale kwenye sehem ya msg una opt new sms then unaandika neno salio to 15444.ukipata msg lazima ufungue optn ya inbox ndio usome otherwise huwezi.wajuzi watufahamishe namna ya ku rechage bila kutoa line