Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,090
Wakuu nisaidieni kunijuza, natumia USB Stick ya HUAWEI ya Zain (airtel) na nina line 2 (sim-card) niliyoanza nayo ilikuwa modem inawaka rangi ya bluu 3G sasa hivi imepotea natumia ingine imewaka kijani 2G (speed 236.8 kbps) ina-such slowly sana na inabidi nivizie usiku ndipo napoweza kuipata Jamii Forum.Nimefika ofisi zao nikawaomba wanibadilishie nirudi kwenye rangi ya bluu yenye speed kubwa wamesema zote zipo sawa.
Sina hamu tena nisaidie nihamie wapi tena kwenye mtandao wa kasi ?
Kuchakachua (un-lock) mlishanipa no za siri NASHUKURU sijahama / SIJASHUGHULIKIA bado naomba ushauri wa kitaalam
Sina hamu tena nisaidie nihamie wapi tena kwenye mtandao wa kasi ?
Kuchakachua (un-lock) mlishanipa no za siri NASHUKURU sijahama / SIJASHUGHULIKIA bado naomba ushauri wa kitaalam