Semilong
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 1,712
- 219
aaaah! Siasa za bongo hata sina hamu nazo..
mimi kwenye jimbo langu la kawe nilihudhuria kikao kimoja cha ccm, sikuweza kuamini macho yaangu
kama unadhani wabunge wa tz ni watu waajabu, nenda wilayani utachanganyikiwa.......