Invisible
Robot
- Feb 11, 2006
- 9,075
- 7,878
Habari nilizozipata muda mfupi uliopita zinadai Mhe. Mohammed Dewji mbunge wa Singida Mjini ameshinda kesi iliyokuwa imefunguliwa na wapinzani wake na yeye kuwashinda katika pingamizi alilowawekea hivyo kubakia pekee kwenye kinyang'anyiro cha nafasi ya ubunge kwa jimbo hilo, hIi inamaanisha njia ni nyeupe kurejea mjengoni. Habari zaidi tutapeana kadiri muda unavyosonga
==============
LATEST:
22 Aug, 2010
Kwa mujibu wa Dr. Slaa, CHADEMA wamekata rufaa kwa kushirikiana na CUF dhidi ya Mo, hivyo mpaka rufaa isikilizwe au itupiliwe mbali ndipo itakuwa rasmi kuwa Mo hana mpinzani.
==============
LATEST:
22 Aug, 2010
Kwa mujibu wa Dr. Slaa, CHADEMA wamekata rufaa kwa kushirikiana na CUF dhidi ya Mo, hivyo mpaka rufaa isikilizwe au itupiliwe mbali ndipo itakuwa rasmi kuwa Mo hana mpinzani.