Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,557
- 41,067
Toba, I smell a stinking fish...Kama alikwenda Kusaidia then anatipa taarifa Kuna a force behind this change...Pengine mabeberu Wana recruit new agents...Nimewaza tu mwenzenu kwakua vyama vyetu vina support ya Hawa ma bwana badala ya kujisimamia vyenyewe
Kama kuna sapoti ya kutoka nje kwaajili ya kuonfoa udikteta Afrika, ni jambo jema sana. Tuwashukuru sana hao wanaosapoti. Afrika inadidimia kwa sababu ya watawala hovyo, wanaojimilikisha uongozi ilihali hawana uwezo. Fikiria mijitu ambayo haitaki hata tume huru ya uchaguzi. Halafu inatumia vyombo vya dola kuwadhibiti wanaohoji. Wanaohoji hawana nguvu ya vyombo vya dola, watafanikiwa vipi kuwaondoa mashetani wanaoiangamiza Afrika kwa mifumo ya hovyo ya utawala?
Tunasaidiwa na mataifa ya nje kwenye uchumi, ni muhimu zaidi kusaidiwa katika ujenzi wa mifumo ya demokrasia na utawala bora.