Mnyika, Jafo & Sungusia wamekuwa ndio vyama vya wafanyakazi Tanzania

kwamtoro

JF-Expert Member
Nov 15, 2010
4,922
3,234
Kwa kweli inasikitisha sana kwa dhuluma ya waziwazi inayofanywa na vyama vya wafanyakazi kwa kuchukua michango kila mwezi huku yakiwa yamekaa kimya kwa kutopigania vilio na majonzi ya wanachama wao katika mchakato wa fao la kujitoa. Kidogo nawapongeza chama cha wafanyakazi wa migodini kwa kuonyesha wanaweza.

Je kwa Tanzania, Vyama vya wafanyakazi ni mali ya serikali au wananchi? Je kuna ulazima wa hivi vyama kuwepo?
 
Ya wezekana majukumu ya hivi vyama ni kumtetea mfanyakazi moja moja sio kwa wingi wao. Au walisha chukua chao mapema na kuwaacha wafanyakazi kwenye mataaa wakijitetea wenyewe. Nchi ya kitu kidogo hii usishangae. Asilimia 10 unaangamiza taifa.
 
Vyama vya wafanyakazi kwa Tanzania ni ajira ya makatibu. Labda chama kinachoonekana kipo hai ni CWT.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom