Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,871
Naibu Katibu Mkuu Chadema John Mnyika amezidi kuisambaratisha CCM kwa kuhutubia maelfu ya watu katika mkutano mkubwa wa hadhara unaondelea jioni hii hapa Busega.
Katika ziara hiyo Mnyika amefuatana na Katibu Mkuu BAVICHA Julius Mwita.
Mnyika ameendelea kulaani sera mbovu za CCM zilizosababisha umaskini mkubwa kwa wananchi.
Mnyika alilakiwa kwa kishindo kikubwa alivyoingia Busega kwa watu kadhaa kuchana bendera za CCM na kuzitupa barabarani huku wakiimba nyimbo za kuisifu Chadema na viongozi wake.
Amewataka wananchi kujiandaa kujiandikisha kwa wingi kwenye daftari la kudumu la mpiga kura BVR zikifika.
Ameionya serikali kutocheza na swala la uchaguzi mkuu
Katika ziara hiyo Mnyika amefuatana na Katibu Mkuu BAVICHA Julius Mwita.
Mnyika ameendelea kulaani sera mbovu za CCM zilizosababisha umaskini mkubwa kwa wananchi.
Mnyika alilakiwa kwa kishindo kikubwa alivyoingia Busega kwa watu kadhaa kuchana bendera za CCM na kuzitupa barabarani huku wakiimba nyimbo za kuisifu Chadema na viongozi wake.
Amewataka wananchi kujiandaa kujiandikisha kwa wingi kwenye daftari la kudumu la mpiga kura BVR zikifika.
Ameionya serikali kutocheza na swala la uchaguzi mkuu