johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,000
- 142,027
Katibu mkuu wa Chadema mh John Mnyika amesema Watuhumiwa wanaoshikiliwa na Polisi mh Mwabukusi, Dr Slaa na mh Mdude wanapaswa kufikishwa mahakamani au kupewa Dhamana Muda wa kushikiliwa kisheria umekwisha
Mnyika amesema kupitia ukurasa wake wa twitter
Mnyika amesema kupitia ukurasa wake wa twitter