OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,525
Kaka waweza kutufafanulia hii habari iliyodondoshwa hapa jana?
Kama angeweza kufafanua na ya mwenyekiti kulamba mpunga ingekuwa ndege wawili kwa jiwe moja!!!!!
Kaka waweza kutufafanulia hii habari iliyodondoshwa hapa jana?
walitaka awe kama kuku wa maulidi au krisimasi,wanamchinja watakavyo!!kwa hiyo mlitaka atulie tu ili mfanye yanayaoridhisha mioyo ya baadhi yenu!!!!
Ndio mjue katiba ya chama sio msahafu wala biblia!!!!
Usichanganye watu, alichozuiwa ni kutotumia jina, nembo wala facilities za chama, lakini yuko huru kuitisha kikao hata cha kitchen party bila usumbufu na ulinzi wa polisi atapewa.Hapa wamevunja katiba ya nchi mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake na kusikilizwa na mtu yeyote na mtu ana uhuru wa kushiriki shughuli zozote za kisiasa kuwazuia hadi mashabiki na wapenzi nimeamini CHADEMA hawajui sheria wala katiba ya nchi.
Anayepaswa kujibu haya ni aliye madarakani au aliye upinzani? Umeshawahi kuiuliza serikali ya chama chako juu ya haya?
Sasa kama majibu ya matatizo yapo serikalini nini maana ya chama cha upinzani??!!!
Wanataka dola ya nini???!!!!
Kutoa tamko/ kalipio kwa serikali iliyopo haiwezi kufanywa na chama pinzani??!!
Serikali ndio ihamasishe maandamano nchi nzima kuonesha kutoridhika??!!!
Na kama unaimani na serikali hii why the hell unasapoti upinzani sasa????!!
Mambo ya kitaifa hayataki ushabiki na utetezi mwepesi huu!!!!
Chama kijitoe hadharani na kuonesha nia ya kutoa kadhia hii,in the same vein mnavyomlalamikia Zitto kutoshiriki kampeni za watu hapa chama hakishiriki kampeni za wananchi kwa ujumla wake!!!!
We need a vocal and vibrant opposition!!!!!!
walitaka awe kama kuku wa maulidi au krisimasi,wanamchinja watakavyo!!
Oooh dear.........have anice day my dear man!
A nice day when things are not in order!!!!!!
Will be a good for nothing!!!!!
Unataka chama kiwe objective kivipi zaidi ya kuwafukuza wasaliti.Hawa jamaa huwa nawatilia shaka umakini wao na objectivity na jinsi wanavyoshughulika na Zitto ndio kabisa nasema hiki chama hakijakomaa!!!!
Nakubaliana na wewe kwenye hilo naona Zitto ndio akulitambua kutokana na ambition zake akiwa ndani ya SACCOS. Kama kweli ilikuwa wamtimue siku nyingi isipokuwa Mbowe, na kama kweli alimchukua akiwa na 17 then he will always remain partially sympathetical towards him, you get attached to what you nurture unaweza sema kamvumilia mno.Hata Zitto kaokotwa hajulikani na Mbowe.. na Mbowe ndiye aliyemteua kuwa Naibu Katibu mkuu... Mbowe anaumia sana Kwa ZZK..
Wasaliti huwa wanapondwa mawe hadi wafe maeneo mengi ya dunia sio mbaya na sisi tukianzisha mtindo
Chadema hakishughuliki na mtu bali kinasimamia katiba yakeHawa jamaa huwa nawatilia shaka umakini wao na objectivity na jinsi wanavyoshughulika na Zitto ndio kabisa nasema hiki chama hakijakomaa!!!!
Kauli ya Mnyika
Mnyika kwa upande wake alisema kutompa ushirikiano Zitto ni uamuzi wa Kamati Kuu ambao ulitokana na hatua yake ya kwenda mahakamani kwa masuala ya chama, kinyume cha matakwa ya Katiba ya Chadema na Kanuni zake.
Mnyika alikuwa akirejea taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willibrod Slaa, baada ya kikao hicho akiwataka viongozi wa ngazi zote za chama hicho, wanachama, mashabiki na wapenzi wake, kutoshiriki wala kusaidia kwa namna yoyote mikutano yote ya nje, ndani au shughuli nyingine yoyote ya kisiasa itakayofanywa na Zitto na mawakala wake.
Chanzo; Gazeti la Mwananchi.
cdm mlimlea sana huyu dogo ,irregularities za 2010 zilitosha kabisa kimtoa.
Kwani wewe kuna mtu anakuamini, mpaka uwe na imani kwa mnyika?Mnyika nimepoteza imani nilikuwa nayo kwako,na take my word tuko kibao tusiokuelewa
hujui unachosema.
...nasikia unataka
kujiuzulu.
Kama katiba ya CDM
inazuiwa watu kutafuta haki mahakamani, hata kama ni kwa maswala ya
chama, basi hiyo katiba ina dosari kubwa. Haki ya mtu ni moja ya basic
human rights.