Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,231
Nilikuwa natumia laptop ''TOSHIBA SATELLITE'' ila kosa nililokuwa nafanya nilikuwa naacha kitandani ikiwa sijazima,ingawa siyo kila mara nikiacha.Siku moja ikazimika na haikuwa tena na ikawa inatoa harufu ya kuugua sehemu za kuchomekea headphones,tangu imezimika nikiiwasha inawaka inaonyesha tu mwanga na haikai hata sekunde 10 halafu inazimika yenyewe.Nisaidieni nijue tatizo na nini kimeungua,au kama imeungua/kufa mazima kabla sijapeleka kwa fundi.