Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
Huu unazi wa timu zasoka barani ulaya vimeendelea kuchukua maisha ya watu mbali mbali. Kijana mmoja huko Mererani leo amepoteza maisha mara baada ya mchezaji wa Manchester United Robin Van Persie alizimia ghafla baada ya mchezaji huyo kufunga goli la 2 kwa Man Utd. Mashuhuda wanasema kuwa walishangaa kumuona kijana huyo ( jina halijatambuliwa) akidondoka kutoka kitini mara baada ya Van Persie kufunga penati hiyo, alikimbizwa kituo cha afya Mererani lakini aliripotiwa kupoteza maisha muda mfupi baadae.
My take:Watu tuwe makini na huu utandawazi katika kushabikia vitu fulani...
My take:Watu tuwe makini na huu utandawazi katika kushabikia vitu fulani...