kuku? dah si utamuua? dah jf raha sanaHabari wana JF mimi nina miezi yapata saba sasa tangu niwe mbali na mpenzi wangu na mpaka sasa sijafanya mapenzi ndani ya hiyo miezi niliyotaja ila napata wakati mgumu sana kwani nina ugwadu hatari nikiona hata kuku mtaani wamedandiana mimi dushelele inasimama sasa mnisaidie nyie mliwezaje kuicontrol hii hali ninapata shida sana alafu kuna kibek tatu pale ninapoishi wakati nafika nilikuwa nakiona kibaya hakina mvuto ila sasa kinanitamanisha sana nakiona kama Lulu wa Bongo movie...Hapa niko dukani najishauri ninunue condom yaani najipa mawazo nifike nikiite chumbani nipige hata kimoja maana nina nyege sana hatari naweza kubaka hata kuku...Naomba ushauri ndugu hapa nifanyaje au njia gani nitumie
Interesting!Lala leo utaota yataisha
Phone sex sio lazima ufunge goli...punyeto lazima. Ila punyeto itamsababishia maatatizo mengine....Hivi phone x inatofauti gani na puli?
Ndoto nyevu ni njia ya asili ya kupunguza "mzigo uliozidi"...Nazo ni dawa? Au ndo zitazidi kumchochea?
Mmmmmh!!Phone sex sio lazima ufunge goli...punyeto lazima. Ila punyeto itamsababishia maatatizo mengine....
Phone sex At least itamuondolea mfedheheko...
Basi achepuke tuu....Mmmmmh!!
Nimekuelewa mtani.. AsanteNdoto nyevu ni njia ya asili ya kupunguza "mzigo uliozidi"...
Hili huwapata zaidi "masinia" walioamua kutofanya ngono!!
Hivi phone x inatofauti gani na puli?
sawaaKajichoshe kwenye mazoezi, inasaidia sana. Ukichoka hata ukiongea na mpenzi wako dushelele haisimami. Wewe na Mimi hatutofautiani sana, mi nikitoka job, saa kumi naingia tizi uwanjani hadii Giza. Basi sina hata hayo mawazo ya ngono, full rahaaa.