Mara kadhaa nimejiuliza juu uhakika wa mitaala yetu hapa bongo, na hasa Kama unaotumika udsm. Coz migomoooooo..migomoooooo....siasiaaaaaa.. walimu wao nao kila cku itawaona kwenye screen za tv tuuuuuu..wakitoa maoni juu ya jamvi lolote...na wanachuo wao mtaani nyyiiiingi.... MKANDALA REKEBISHA HALI HIYO PLS, hawa ndo chanzo cha ubabaishaji katika maeneo ya kazi.. Pls, tumechoka na nyie wababaishaji. Hatukuwatuma mkagome,,,, rudini mkachunge mbuzi na kubwia kuberi.