Mnasoma kweli hapo UD?

busar

JF-Expert Member
Dec 22, 2011
1,068
1,061
Mara kadhaa nimejiuliza juu uhakika wa mitaala yetu hapa bongo, na hasa Kama unaotumika udsm. Coz migomoooooo..migomoooooo....siasiaaaaaa.. walimu wao nao kila cku itawaona kwenye screen za tv tuuuuuu..wakitoa maoni juu ya jamvi lolote...na wanachuo wao mtaani nyyiiiingi.... MKANDALA REKEBISHA HALI HIYO PLS, hawa ndo chanzo cha ubabaishaji katika maeneo ya kazi.. Pls, tumechoka na nyie wababaishaji. Hatukuwatuma mkagome,,,, rudini mkachunge mbuzi na kubwia kuberi.
 
Mara kadhaa nimejiuliza juu uhakika wa mitaala yetu hapa bongo, na hasa Kama unaotumika udsm. Coz migomoooooo..migomoooooo....siasiaaaaaa.. walimu wao nao kila cku itawaona kwenye screen za tv tuuuuuu..wakitoa maoni juu ya jamvi lolote...na wanachuo wao mtaani nyyiiiingi.... MKANDALA REKEBISHA HALI HIYO PLS, hawa ndo chanzo cha ubabaishaji katika maeneo ya kazi.. Pls, tumechoka na nyie wababaishaji. Hatukuwatuma mkagome,,,, rudini mkachunge mbuzi na kubwia kuberi.

baelezee
 
Mara kadhaa nimejiuliza juu uhakika wa mitaala yetu hapa bongo, na hasa Kama unaotumika udsm. Coz migomoooooo..migomoooooo....siasiaaaaaa.. walimu wao nao kila cku itawaona kwenye screen za tv tuuuuuu..wakitoa maoni juu ya jamvi lolote...na wanachuo wao mtaani nyyiiiingi.... MKANDALA REKEBISHA HALI HIYO PLS, hawa ndo chanzo cha ubabaishaji katika maeneo ya kazi.. Pls, tumechoka na nyie wababaishaji. Hatukuwatuma mkagome,,,, rudini mkachunge mbuzi na kubwia kuberi.
Wewe ni mwanafunzi wa chuo au?
 
Ushauri wangu kwa ndugu zangu hawa nimeshautoa toka muda mrefu sana na jana mukandala ameurudia tena kuwa kuwarudisha wenzenu kwa migomo hakuna tija maana hakutakuwa na mafanikio la msingi ni mawili tu. moja meza ya mazungumzo yenye makubaliano ya msingi na meza hiyo iwe na mediators kama ilivyokua rwanda na burundi (mediators wawe waalimu aka UDASA na hapa si viongozi kina kitila bali ni senior Professors wawili, wafanyakazi wa kawaida mmoja, mfanyabiashara mashuhuri, diplomat asiye na utata kwamfano mnaweza kumtumia dean of diplomatic corps Balozi Juma Khalifan Mpango ambaye ni balozi wa DRC Kongo na mtu wa serikali kama Sadi Mwema au Suleiman Kova) hawa wana busara na wanaweza kuomba kuongea na baraza lenu la chuo na waliofukuzwa pamoja na wanaharakati na kutoa ushauri kwa uongozi wa DARUSO na wa Chuo vilevile. Kwa hili kwanzawanaharakati mtajenga legitimas na kuondoa ile shaka ya kutumwa kisiasa hata kama ukweli upo kwapani.


Njia ya pili niliwasahauri wakimbie mahakamani haraka wakaweke pingamizi la kutotekelezwa kwa maamuzi ya baraza mara tu baada ya kupokea barua. Hili lingesaidia kwa kuwa mahakama ingetoa tamko la wao kuendelea na masomo mpaka hapo hukumu yao itakapo kamilika lakini huku nyuma wakikaza msuli wa kusoma. Wanasheria mtanisaidia hapo maana mimi si mtaalamu sana wa sheria ni mtaalamu katika international conflict resolusion.


Hayo nimerudia baada ya leo kuamua kujiunga na wanamaandamano ili kupata ni vipi hawa ndugu wako makini na jambo husika lakini ukweli ni kwamba mpaka saa saba mchan pale tahariri square walikua 12 na saa kumi walibaki wanne tu huku wakilaumiana kuwa wamesalitiana. Huku hao wakizunguka huku na kule askari walikuwa kila pahala hasa askari kanzu na watu wanne wamekamatwa kwa kujaribu kuwatoa waliokuwa wanaendelea na masomo madarasa. Sasa basi, hapa tunajifunza nini? Pamoja na kundi hili kutaka chuo kifungwe ili waonekane ni washindi hawajajifunza/ hawajui madhara ya kufunga chuo wakati wenzao wanafanya test wao hawafanyi wanazunguka huku na kule. Hapo chuo kikifungwa kama enzi zetu tulipokuwa tunagomea maslahi ya nchI mkirudi ni mtihani huku nyuma testi hujafanya hivyo course work ndogo lazima utacheza disco mutu yangu!!!!!!!!!!!!!!!!! pili nimejifunza kuwa hawana mpangilio na hawajui hasa nini wanachokitaka (strategic plani 20%). Mipango thabiti imeishia leo maana kesho sikukuu na walichotegemea ni chuo kifungwe leo hakikufungwa na wenzao nimenasa statement iliyotolewa jioni hii na Waziri mkuu wa DARUSO kueleza kuwa bado serikali haiungi mkono mgomo na kuwa serikali ipo haijafutwa na haitafutwa.
(
UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
DAR ES SALAAM UNIVERSITY STUDENTS ORGANISATION (DARUSO)
P. O. BOX 35080-DAR ES SALAAM-TANZANIA
11/01/2012
TAARIFA KWA UMMA.
Kikao cha Baraza la Chuo kilifanyika tarehe 10/01/2012 na kujadili hali ya Chuo kwa ujumla na Serikali ya DARUSO iliwakilishwa. Hivyo basi Serikali ya Wanafunzi inapenda kuutaarifu umma yafuatayo:1. Serikali ya wanafunzi (DARUSO) haijafutwa, ipo na inaendelea kufanya kazi. Kuhusu taarifa zilizoenea katika vyombo vya habari kuwa DARUSO imefutwa ni uzushi na tunafanya taratibu za kuwachukulia hatua watu na vyombo vyote vya habari vilivyoeneza uvumi huo.2. Serikali ya wanafunzi inaendeleza juhudi za majadiliano kuhusu hatma ya wanafunzi ambao wamefukuzwa na kusimamishwa masomo.3. Aidha, tunaomba wale wanafunzi wachache ambao wanaendeleza mgomo warudi madarasani na kuendelea na masomo kama kawaida. Pia serikali ya wanafunzi inasisitiza kuwa mgomo unaoendelea sio halali kwani taratibu zote za kisheria na kanuni hazikufuatwa. Kwahivyo tunawaomba wanafunzi wasitishe maandamano hayo ili kuruhusu jitihada zinazochukuliwa na viongozi wao kuzaa matunda ndani ya siku chache kuanzia leo hii tarehe 11/01/2012.)

Hapo naendelea kuwashauri ndugu zangu mkirudi kwenye meza ya mazungumzo mafanikio yataonekana zaidi ya vita. Ni ushauri tu najua wengi watanisema kwa kadiri wajuavyo lakini ni mtazamo wangu.
 
Mara kadhaa nimejiuliza juu uhakika wa mitaala yetu hapa bongo, na hasa Kama unaotumika udsm. Coz migomoooooo..migomoooooo....siasiaaaaaa.. walimu wao nao kila cku itawaona kwenye screen za tv tuuuuuu..wakitoa maoni juu ya jamvi lolote...na wanachuo wao mtaani nyyiiiingi.... MKANDALA REKEBISHA HALI HIYO PLS, hawa ndo chanzo cha ubabaishaji katika maeneo ya kazi.. Pls, tumechoka na nyie wababaishaji. Hatukuwatuma mkagome,,,, rudini mkachunge mbuzi na kubwia kuberi.
virusi huyo
 
Mara kadhaa nimejiuliza juu uhakika wa mitaala yetu hapa bongo, na hasa Kama unaotumika udsm. Coz migomoooooo..migomoooooo....siasiaaaaaa.. walimu wao nao kila cku itawaona kwenye screen za tv tuuuuuu..wakitoa maoni juu ya jamvi lolote...na wanachuo wao mtaani nyyiiiingi.... MKANDALA REKEBISHA HALI HIYO PLS, hawa ndo chanzo cha ubabaishaji katika maeneo ya kazi.. Pls, tumechoka na nyie wababaishaji. Hatukuwatuma mkagome,,,, rudini mkachunge mbuzi na kubwia kuberi.

its beyond Mkandala's scope!!!
 
Mara kadhaa nimejiuliza juu uhakika wa mitaala yetu hapa bongo, na hasa Kama unaotumika udsm. Coz migomoooooo..migomoooooo....siasiaaaaaa.. walimu wao nao kila cku itawaona kwenye screen za tv tuuuuuu..wakitoa maoni juu ya jamvi lolote...na wanachuo wao mtaani nyyiiiingi.... MKANDALA REKEBISHA HALI HIYO PLS, hawa ndo chanzo cha ubabaishaji katika maeneo ya kazi.. Pls, tumechoka na nyie wababaishaji. Hatukuwatuma mkagome,,,, rudini mkachunge mbuzi na kubwia kuberi.

Bora wakabwie kubeli tu maana naona wamechoka na shule...
 
Wangekua hawasomi wangekua wame disco though all tym....kama wanacheza then wanafaulu 2 me ts k!!
 
Back
Top Bottom