Mechanic 97
JF-Expert Member
- Feb 6, 2021
- 506
- 826
Kivipi?Utapigwa ukikosa subira
Utapokea kupitia kwa wakala. Kwa hiyo anuani uliyoandika yeye atakupigia simu na kukuambia wapi atakuwepo huyo wakala uende kuchukua mzigo wako. Mfano, Kibaha huwa tunapokelea pale karibu na baa ya River Road Picha ya Ndege.Wakuu Ninaharaka sana na mzigo mnapokeaje kupitia speedaf maana nimeskia wao ni wiki mbili ila Kwa Hawa na wanaoship ni two month.View attachment 2538031
Watakuja watu kukuambia wanaweza kukusaidia kuupata mzigo wako kwa hara kisha wakupige.Kivipi?
Endelea kufuatilia tracking number | Mzigo ukifika nchini mwishoni mwa tracking utaandikiwa Jina na namba ya simu la mtu ambaye anao mzigo wako tayri kwa kukufanyia delivery. Wewe jukumu lako ni kumpigia na kumpa maelekezo ya ziada iwapo utakuwa nayo.Wakuu Ninaharaka sana na mzigo mnapokeaje kupitia speedaf maana nimeskia wao ni wiki mbili ila Kwa Hawa na wanaoship ni two month.View attachment 2538031
Ila hapo kwenye jina la shipper speedaf hajaandikwa hii imekaaje?Utapokea kupitia kwa wakala. Kwa hiyo anuani uliyoandika yeye atakupigia simu na kukuambia wapi atakuwepo huyo wakala uende kuchukua mzigo wako. Mfano, Kibaha huwa tunapokelea pale karibu na baa ya River Road Picha ya Ndege.
DHL ili iwe haraka inatakiwa uwe na hela. Maana watataka clearance uwalipe Tshs. 113,000/= na bado utalipa gharama za ukaguzi TBS na ukijichanganya utalipa na kodi TRA, kwa kitu kidogo tu. Speedaf ni freeWatakuja watu kukuambia wanaweza kukusaidia kuupata mzigo wako kwa hara kisha wakupige.
Ungetumia DHL
Ila hapo kwenye jina la shipper speedaf hajaandikwa hii imekaaje?Endelea kufuatilia tracking number | Mzigo ukifika nchini mwishoni mwa tracking utaandikiwa Jina na namba ya simu la mtu ambaye anao mzigo wako tayri kwa kukufanyia delivery. Wewe jukumu lako ni kumpigia na kumpa maelekezo ya ziada iwapo utakuwa nayo.
Speedaf shipping yake ni cainiao, ndiyo unayoiona imeandikwa hapoIla hapo kwenye jina la shipper speedaf hajaandikwa hii imekaaje?
Cheap is expensive broDHL ili iwe haraka inatakiwa uwe na hela. Maana watataka clearance uwalipe Tshs. 113,000/= na bado utalipa gharama za ukaguzi TBS na ukijichanganya utalipa na kodi TRA, kwa kitu kidogo tu. Speedaf ni free
Ahaa ila mbona wameandika delivery ni mwezi wa tano hafu nimeskia watu wanasema ni wiki mbiliSpeedaf shipping yake ni cainiao, ndiyo unayoiona imeandikwa hapo
Tracking number ikianza na TZ000Ila hapo kwenye jina la shipper speedaf hajaandikwa hii imekaaje?
Baada ya wiki mbili angalia update ya mzigo wako, utaona mahala umefikia.Ahaa ila mbona wameandika delivery ni mwezi wa tano hafu nimeskia
Hapana. Nimeshasafirisha mizigo na hao wote, DHL, Fedex, Aramex, USPS, UPS nk, ila hao DHL na Fedex ni complicators sana. Yaani hata ukitaka kufanya clearance wewe mwenyewe bado wanataka kukuuzia document zako kwa Tshs. 88,000/= ambazo ni unjustified. Ni wizi flani wanafanya, maana wao kazi yao ni kusafirisha mizigo, sasa ukiuliza kwa nini ulipie document zako wanasema kwa sababu umetumia jina letu, ajabu sana. Yaani unalipa ili upewe ile AIRWAY bill.Cheap is expensive bro
Kwa ambaye angependa kuendelea kupokelea posta anafanyaje ili mzigo ufike posta na si kwa speedaf!?.Tracking number ikianza na TZ000
View attachment 2538050
- Tambua mzigo unapita mikononi mwa speedaf.
Baada ya wiki mbili angalia update ya mzigo wako, utaona mahala umefikia.
Utachagua pale kwenye shipping, wanaweka option nyingi. Lakini kumbuka muuzaji ndiye anayeweka options na sio mnunuzi, kwa hiyo kama hajaiweka hiyo ya posta itabidi uwasiliane nao uone kama ataweza kukutumia.Kwa amabye angependa kuendelea kupokelea posta anafanyaje ili mzigo ufike posta na si kwa speedaf!?.
mkuu kwanini unataka kuwaruka speedaf kuna nini wanakosea.....!?Kwa amabye angependa kuendelea kupokelea posta anafanyaje ili mzigo ufike posta na si kwa speedaf!?.
Mkuu vipi, mi nina mda sana sja agiza kitu AliExpress coz naskia et Speedaf wanapiga watu vitu vyao vipi wewe experience yako na hawa watu.Utachagua pale kwenye shipping, wanaweka option nyingi. Lakini kumbuka muuzaji ndiye anayeweka options na sio mnunuzi, kwa hiyo kama hajaiweka hiyo ya posta itabidi uwasiliane nao uone kama ataweza kukutumia.
Mkuu vipi, mi nina mda sana sja agiza kitu AliExpress coz naskia et Speedaf wanapiga watu vitu vyao vipi wewe experience yako na hawa watu.Tracking number ikianza na TZ000
View attachment 2538050
- Tambua mzigo unapita mikononi mwa speedaf.
Baada ya wiki mbili angalia update ya mzigo wako, utaona mahala umefikia.
Sio kweli, Mzigo unakufikiaSpeedaf wanapiga watu vitu vyao vipi wewe experience yako na hawa watu.