Kwahiyo wewe unataka waende vp USA zaidi ya kuzamia? Maana hawa diaspora 98% ni wazamiaji..habari ya karatasi utaijua ukiwa kiwanjaTatizo vijana mnajazana ujinga sana huko ughaibuni bila makaratasi siyo rahisi kutoboa utaishia kufanya kazi za chini ya meza, na hata hayo makaratasi kuyapata siyo rahisi kama mnavyodanganyana lazima usote kwanza na ukiingia kichwa kichwa deportation inakuhusu, tatizo watu wakiambiwa ukweli wanadai wanakatishwa tamaa mara sijui we mtoto wa mama hujui kitu yani ujuaji tu utafikiri wao ndio kwanza kuwa na hiyo mipango ya kufika huko
Makaratasi unapata ukikanyaga USA 🇺🇸Kwahiyo wewe unataka waende vp USA zaidi ya kuzamia? Maana hawa diaspora 98% ni wazamiaji..habari ya karatasi utaijua ukiwa kiwanja
Uoga wako ndo umasikini wakoMpwayungu acha mawazo yako ya vijiwe vya kahawa hapo Chamwino, USA sio kama Chipogoro tulia uelekezwe acha ubishi,kwanza nani atakupa kazi ukiwa huna work permit hata moja?! Usione wale wanaolala barabaran wanapenda, Hupewi hata kazi ya kuzibua vyoo ukiea huna kibali hata kimoja na ukianza process za kutafuta hivyo vibali ndio zitaanza hizo kesi za ulifika vipi hapa USA, Matokeo yake ni deportation au kifungo ndani ya USA
Mpwaa nilikuwa nimekumisi jmn acha tuu 😂😂😂😂Ko ukiwa shoga, huko unakula bata tyuuh??
Huna akili, mm nalisha wewe na Familia yako bogus wewewe mwalimu huna hela ya kwenda Marekani subiria mwisho wa mwezi
Sitoi mrejesho kwa wapumbavWe endelea kujifariji kwa kauli za kipumbavu tu, tangu umeanza kuongelea habari za kuzamia sijui kama umewahi Kuvuka hata hapo Kenya tu, ukipata hizo $2500 nenda huko US kwa kupitia hiyo njia uliyosema halafu rudi hapa utupe mrejesho
Shida wabongo wanapenda vitu easy easy tuu AniHuyo Jadda huwaga mbishi naturally ila njia yako iko sahihi but saivi wabongo wengi wameanza kupitia Brazil.
Soma tena vizuri comment yangu, sijakataza watu wazamie ila wasiwadanganye wenzao kwamba ni rahisi kiasi hicho, tena ukizingatia kwa nchi yetu ambayo haina uraia pacha na passport tu kupata ni ishuKwahiyo wewe unataka waende vp USA zaidi ya kuzamia? Maana hawa diaspora 98% ni wazamiaji..habari ya karatasi utaijua ukiwa kiwanja
Mimi huwa nabisha kwenye mambo ambayo nayafahamuHuyo Jadda huwaga mbishi naturally ila njia yako iko sahihi but saivi wabongo wengi wameanza kupitia Brazil.
Mjinga kweli ww, kama hata passport kupata kwako bado ishu kumbe we jamaa unakaa maporiniSoma tena vizuri comment yangu, sijakataza watu wazamie ila wasiwadanganye wenzao kwamba ni rahisi kiasi hicho, tena ukizingatia kwa nchi yetu ambayo haina uraia pacha na passport tu kupata ni ishu
Unabisha kipumbavuMimi huwa nabisha kwenye mambo ambayo nayafahamu
USA kama huna Social security number sahau kufanya kazi legally.Ukifika USA kazi za kumwaga tu broo, usitegemee kazi ikufate apo kwa Bibi ako, ukishafika USA Kuna wakongwe wanakupa njia za kupata makaratasi
Kwa hiyo walitembea na miguu au vp ? Mdogo wangu ulishawah kufika hata hapo Kenya au Uganda huku mfukoni ukiwa huna hata mia mbovuNi ww tu utakavyojiamn, Kuna watu walitoka hawana Ata pesa Ila walifika na wametoboa
Border ya mexico this time ni ngumu na ukikamaywa ukiwa unavuk daraja wanakurufisha mexicoBorder huru la mexico washalifunga kwani?
Hapo hakuna ata nzi,madhari imetulia kishenzi.Beverly Hills-carfornia View attachment 2959557
Acha kujitoa ufahamu mpuuzi wewe ni wapi nimesema kwamba hapa najiongelea mimi au kwamba mimi sina passport, wewe huoni nyuzi zinazoanzishwa karibu kila siku za kuwalalamikia uhamiaji, wanavyowazungusha watu kuwapa passports sababu ya kutaka rushwaMjinga kweli ww, kama hata passport kupata kwako bado ishu kumbe we jamaa unakaa maporini