Mnaoshinda mitandaoni mnafanya kazi saa ngapi?

pet96

JF-Expert Member
Feb 23, 2022
362
593
Umofya kwenu members! Umofya tena !!!

Niende moja kwa moja kwenye mada, Baada ya kufanya utafiti mdogo nimegundua baadhi ya watu kushinda mitandaoni muda mwingi si asubuhi mchana wala jioni.

Swali langu ni mnafanya kazi saa ngapi kama kutwa kukicha mitandaoni? Mnamajukumu kweli ?
Tutafikia maendeleo kweli kama taifa?

Nawasilisha
 
Umofya kwenu members! Umofya tena !!!

Niende moja kwa moja kwenye mada, Baada ya kufanya utafiti mdogo nimegundua baadhi ya watu ( ids) kushinda mitandaoni muda mwingi si asubuhi mchana wala jioni .
Swali langu ni mnafanya kazi saa ngapi kama kutwa kukicha mitandaoni? Mnamajukumu kweli ?
Tutafikia maendeleo kweli kama taifa ?
Nawasilisha
😂 😂 😂 😂 😂
Usitupangie cha kufanya, hata kushinda mtandaoni nayo ni kazi
 
Umofya kwenu members! Umofya tena !!!

Niende moja kwa moja kwenye mada, Baada ya kufanya utafiti mdogo nimegundua baadhi ya watu ( ids) kushinda mitandaoni muda mwingi si asubuhi mchana wala jioni .
Swali langu ni mnafanya kazi saa ngapi kama kutwa kukicha mitandaoni? Mnamajukumu kweli ?
Tutafikia maendeleo kweli kama taifa ?
Nawasilisha
Ulitakiwa utilize mnaoshina mtandaoni pesa pesa za mabamdo na pesa za matumizi mnapatje?. Apo ndio utapata maelekezo mazuri na ww umawezakuja kushimda uku mtandaoni na ukaendeaha maisha yako kama ya hawa wanaoshinda uku
 
Tukiachana na maisha yao binafsi.
Hata mimi najiulizaga sana kuna ID masaa 20-24 ziko online zinachangia kila mada na kujua almost everything
Utasema ni robot hivi wenzetu hawanaga ubusy au ndo matajiri!!! Huwa inanishangazaga sana hii kitu
 
Umofya kwenu members! Umofya tena !!!

Niende moja kwa moja kwenye mada, Baada ya kufanya utafiti mdogo nimegundua baadhi ya watu ( ids) kushinda mitandaoni muda mwingi si asubuhi mchana wala jioni .
Swali langu ni mnafanya kazi saa ngapi kama kutwa kukicha mitandaoni? Mnamajukumu kweli ?
Tutafikia maendeleo kweli kama taifa ?
Nawasilisha
Tumeshinda ngapi ngapi
 
Back
Top Bottom