Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,282
- 105,486
mbona umeonyesha msisitizo kwenye "hawavai"?
Kwa sababu ndiyo issue, hujajibu swali.
mbona umeonyesha msisitizo kwenye "hawavai"?
Najua nakapanya unamaanisha ile damu inayotoka siku akifanya hilo tendo kwa mara ya kwanza.Lakini kuna wengine zinatoka bila wao kujua kutokana na mazoezi makali au shughuli ngumu,sasa dada kama huyo tumweke kwenye kundi gani maana hajawahi kufanya tendo hilo kwenye maisha yake.
Billie asa kama umefall na unataka K safi bac uiweke legally before the public yani mambo flani ya marriage certificate ukishamwoa si ndoo umemuwekea password ama , asa nyie men unamuwekea mtu password afu tena una log in kwa user mwingine sijui waga ni tamaa ama ndo kutaste bucha ipi inalipa dah yani