Saidama
JF-Expert Member
- Jun 10, 2022
- 501
- 946
Kwa mlioko mkoani Kagera au mlio na wapendwa wenu mkoani humo mna taarifa gani mpaka sasa kuhusu ugonjwa huu, maana kumekua kimya kiasi juu ya hili?
Muda si mrefu nimeona waziri mwenyewe dhamana Ummy Mwalimu anasema mpaka sasa ni watu nane tu ndio waliopata ugonjwa huo na kati yao watano ndio wamefariki na leo wamemruhusu mgonjwa mmoja mwenye umri wa miaka 26. Je, anachokizungumza waziri ndiyo hali halisi?
Muda si mrefu nimeona waziri mwenyewe dhamana Ummy Mwalimu anasema mpaka sasa ni watu nane tu ndio waliopata ugonjwa huo na kati yao watano ndio wamefariki na leo wamemruhusu mgonjwa mmoja mwenye umri wa miaka 26. Je, anachokizungumza waziri ndiyo hali halisi?