KIJOME
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 3,084
- 732
Hizi gari si mchezo zimekaa kiume,nina mshua wangu mdogo alikuwa ni dereva wa kampuni ya mafuta pale Moshi mjini almaarufu kwa jina la Cassacrand miaka ya 90 to 95,tulitoka dar to moshi jmoc tukafika j3 mchana ila barabara ilikuwa ni mbovu ajabu na unafika salama hata spring haivunjiki....