Shabani Ajaha
Member
- Aug 18, 2021
- 78
- 60
UVCCM-TAIFA
08 Juni 2023
KIJANA SEMA NA UVCCM
Vijana ni hazina muhimu sana kwa Taifa letu kwasababu ya upeo wao mkubwa wa kufikiri na uwezo mkubwa katika utendaji wa kazi kwa maslahi ya Nchi yetu.
Kwa kutambua hilo, UVCCM imetenga siku ya Ijumaa ya Tarehe 9 Juni 2023 katika Ofisi za Makao Makuu ya UVCCM Upanga Jijini Dar es Salaam kama siku rasmi ya kuwasikiliza vijana wote wa kitanzania.
Hivyo, tunawakaribisha sana vijana wote kusema na UVCCM ili nasi tubebe mawazo, maoni, mapendekezo na changamoto za vijana kama kipaumbele chetu kila siku.
Imetolewa na;
Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM-Taifa.
08 Juni 2023
KIJANA SEMA NA UVCCM
Vijana ni hazina muhimu sana kwa Taifa letu kwasababu ya upeo wao mkubwa wa kufikiri na uwezo mkubwa katika utendaji wa kazi kwa maslahi ya Nchi yetu.
Kwa kutambua hilo, UVCCM imetenga siku ya Ijumaa ya Tarehe 9 Juni 2023 katika Ofisi za Makao Makuu ya UVCCM Upanga Jijini Dar es Salaam kama siku rasmi ya kuwasikiliza vijana wote wa kitanzania.
Hivyo, tunawakaribisha sana vijana wote kusema na UVCCM ili nasi tubebe mawazo, maoni, mapendekezo na changamoto za vijana kama kipaumbele chetu kila siku.
Imetolewa na;
Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi UVCCM-Taifa.