AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,080
Mwanamke kamili amenishauri kukaa nyumbani mara moja moja, nina hazina ya kutosha kwenye friji ya kuenjoy indoor weekend, napenda supu ya mbuzi lakini huwezi kukidhi viwango vyangu bila kichuri mambo yanakuwa hayajatimia, wewe nipe mtori kwa chapati unanitosha najuwa wanawake ni mahiri katika kuandaa mtori na sio supu ya mbuzi.
Matola from this post... Sadly kuna vigezo viwili ambavo vimeni disqualify kua mwanamke kamili. Moja nimekuambia uende viti virefu hali wewe uko determined ubaki vifupi. Pili sio mahiri kaika kuandaa mtori but mbuzi.... Dah!
Will work on it.... Next time nihakikishe hivo vigezo vimeboreshwa... Kwa leo itabidi tu huyo alo kamili tayari anisaidie...