acha utani preta tuma cv
kama huwezi acha
Haya mambo ingebidi tuongee kwanza nyumbani asubuhi kabla ya kuyafikisha hapanitakushirikisha kwenye interview?
Kiukweli wadau wote wa hapa kijiwe cha mmu nyie ni rafiki zangu na ninawapenda sana,nimeona si vibaya nikatoa upendeleo juu ya hili swala kwenu
kwa wale wanaotafuta kazi
kama una bachelor or adv diploma ya accounting au
business admn nitumie cv na passport size 3 kuna kazi ipo mkononi mwangu karibuni mwisho saa sita
da Canta....bebii akikupa kazi usinisahau kwenye umalkia wako plz.Nimeshaattach hapo,umeshaona document zangu?
mimi nina cheti cha form four_nimefaulu vizuri sana b/keeping,vip nitume bebii(maake nimechoka kushona na kubrash viatu hapa stend)poa poa