gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
hata kama successor yupo, ila tatizo huwa ni kulinganisha. A na B, ila A alikuwa zaidi.
Ila ndo maisha lazima yaendelee hata bila A kuwepo lol.
Ila siku nyingine ndo unamkumbuka kama hivi leo.
basi pole sana ila ingizo jipya litakupaliwazo sana tu. manake huwa mimi naamin hivyo.