BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
Kipande hiki ni kizito............
Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita......
Usiku niliongea nae, tukapanga niende kumwona....(distance love).....
Tukacheka....
Akaniambia jinsi anavyonipenda.....
Tukazungumzia mipango ya ndoa......
Tukaamua nikifika keshokutwa yake tupange zaidi....
Baada ya jokes za hapa na pale akanipa ushauri mzito...ushauri ambao nimekuja kuutumia na kunifaa maishani........
Nilikosa usingizi that day.......
Nikakumbuka ndoto niliyoota kama miezi mitatu nyuma....
Niliota amepata ajali na kaumia.....
Nikaiootezea.....
Kesho yake nikaamka saa kumi na moja asubuhi.....nikaghairi kwendz kanisani, ila nikawaamsha wenzangu nikawaambia waende kanisani....
Ilipotimu saa kumi na mbili nikapokea simu.....
Nikaambiwa 'fulani ' tumempoteza.....
Amepata ajali ........
Gari yake imegongana na lori.....
It took me two years to heal.....
Kwa sala na maombi.........................
Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita......
Usiku niliongea nae, tukapanga niende kumwona....(distance love).....
Tukacheka....
Akaniambia jinsi anavyonipenda.....
Tukazungumzia mipango ya ndoa......
Tukaamua nikifika keshokutwa yake tupange zaidi....
Baada ya jokes za hapa na pale akanipa ushauri mzito...ushauri ambao nimekuja kuutumia na kunifaa maishani........
Nilikosa usingizi that day.......
Nikakumbuka ndoto niliyoota kama miezi mitatu nyuma....
Niliota amepata ajali na kaumia.....
Nikaiootezea.....
Kesho yake nikaamka saa kumi na moja asubuhi.....nikaghairi kwendz kanisani, ila nikawaamsha wenzangu nikawaambia waende kanisani....
Ilipotimu saa kumi na mbili nikapokea simu.....
Nikaambiwa 'fulani ' tumempoteza.....
Amepata ajali ........
Gari yake imegongana na lori.....
It took me two years to heal.....
Kwa sala na maombi.........................
Those we love dont go away
They walk beside us every day
Unseen, unheard but always near
Still loved, still missed and very dear
(mashairi kwa hisani ya ???)