Mmmh: Still loved . . .

Kipande hiki ni kizito............
Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita......
Usiku niliongea nae, tukapanga niende kumwona....(distance love).....
Tukacheka....
Akaniambia jinsi anavyonipenda.....
Tukazungumzia mipango ya ndoa......
Tukaamua nikifika keshokutwa yake tupange zaidi....
Baada ya jokes za hapa na pale akanipa ushauri mzito...ushauri ambao nimekuja kuutumia na kunifaa maishani........

Nilikosa usingizi that day.......
Nikakumbuka ndoto niliyoota kama miezi mitatu nyuma....
Niliota amepata ajali na kaumia.....
Nikaiootezea.....

Kesho yake nikaamka saa kumi na moja asubuhi.....nikaghairi kwendz kanisani, ila nikawaamsha wenzangu nikawaambia waende kanisani....

Ilipotimu saa kumi na mbili nikapokea simu.....
Nikaambiwa 'fulani ' tumempoteza.....
Amepata ajali ........
Gari yake imegongana na lori.....


It took me two years to heal.....
Kwa sala na maombi.........................


Those we love dont go away

They walk beside us every day

Unseen, unheard but always near

Still loved, still missed and very dear

(mashairi kwa hisani ya ???)
 
Makubwa! Konnie kumbe you also have a sentimental side? Ama kweli ndo mana chui na ubabe wake naye huwa anapigwa mimba!
Lizzy ukimwona mwambie aache ku flip flop,mwambie vibaya hivo.
 
Kipande hiki ni kizito............
Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita......
Usiku niliongea nae, tukapanga niende kumwona....(distance love).....
Tukacheka....
Akaniambia jinsi anavyonipenda.....
Tukazungumzia mipango ya ndoa......
Tukaamua nikifika keshokutwa yake tupange zaidi....
Baada ya jokes za hapa na pale akanipa ushauri mzito...ushauri ambao nimekuja kuutumia na kunifaa maishani........

Nilikosa usingizi that day.......
Nikakumbuka ndoto niliyoota kama miezi mitatu nyuma....
Niliota amepata ajali na kaumia.....
Nikaiootezea.....

Kesho yake nikaamka saa kumi na moja asubuhi.....nikaghairi kwendz kanisani, ila nikawaamsha wenzangu nikawaambia waende kanisani....

Ilipotimu saa kumi na mbili nikapokea simu.....
Nikaambiwa 'fulani ' tumempoteza.....
Amepata ajali ........
Gari yake imegongana na lori.....


It took me two years to heal.....
Kwa sala na maombi.........................
Pole sana BT,i am feeling for you.
 
Makubwa! Konnie kumbe you also have a sentimental side? Ama kweli ndo mana chui na ubabe wake naye huwa anapigwa mimba!
Lizzy ukimwona mwambie aache ku flip flop,mwambie vibaya hivo.
Bishanga niache bana. . .this is serious!!

@BT pole mwaya. . . siwezi hata imagine uchungu ulopata.
 
wee Bishanga unikome
ujue mie leo nimekaa zangu nimetulia natafakari maisha kwa mapana na marefu.

Wakati mwingine nasahau hata maisha ni nini kwa kweli.

Huyu lizzy ntaongea naye kesho.
Makubwa! Konnie kumbe you also have a sentimental side? Ama kweli ndo mana chui na ubabe wake naye huwa anapigwa mimba!
Lizzy ukimwona mwambie aache ku flip flop,mwambie vibaya hivo.
 
Last edited by a moderator:
Kipande hiki ni kizito............
Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita......
Usiku niliongea nae, tukapanga niende kumwona....(distance love).....
Tukacheka....
Akaniambia jinsi anavyonipenda.....
Tukazungumzia mipango ya ndoa......
Tukaamua nikifika keshokutwa yake tupange zaidi....
Baada ya jokes za hapa na pale akanipa ushauri mzito...ushauri ambao nimekuja kuutumia na kunifaa maishani........

Nilikosa usingizi that day.......
Nikakumbuka ndoto niliyoota kama miezi mitatu nyuma....
Niliota amepata ajali na kaumia.....
Nikaiootezea.....

Kesho yake nikaamka saa kumi na moja asubuhi.....nikaghairi kwendz kanisani, ila nikawaamsha wenzangu nikawaambia waende kanisani....

Ilipotimu saa kumi na mbili nikapokea simu.....
Nikaambiwa 'fulani ' tumempoteza.....
Amepata ajali ........
Gari yake imegongana na lori.....


It took me two years to heal.....
Kwa sala na maombi.........................
BADILI TABIA pole sana mpendwa! ....usisahau kumshukuru Mungu kwa kila jambo manake yeye ndie ajuaye kesho yetu!....na siku zote kazi ya Mungu haina makosa....pole again.
 
Last edited by a moderator:
Mie nimekuelewa, nashangaa in the first place ilikuwaje ukanasa. In the second place, kwenye tundu bovu.

Mie mwizi akiibiwa huwa nafanya sherehe. Nisingechungulia elimu ya UPE nahisi ningekuwa mchawi!

Hahahahaha King'asti hii nimeipenda lol...... nimecheka sana!
 
Last edited by a moderator:
BADILI TABIA pole sana mpendwa! ....usisahau kumshukuru Mungu kwa kila jambo manake yeye ndie ajuaye kesho yetu!....na siku zote kazi ya Mungu haina makosa....pole again.

asante....
Iam glad niliweza kumfanya mtu mwenye furaha(aliniambia the last day we talked),
namshukuru Mungu kwa kila jambo.
Nipo poa sasa.....
Nimemove on kitambo.....
Though ana special place in my heart....
 
Last edited by a moderator:
Kipande hiki ni kizito............
Nakumbuka miaka kadhaa iliyopita......
Usiku niliongea nae, tukapanga niende kumwona....(distance love).....
Tukacheka....
Akaniambia jinsi anavyonipenda.....
Tukazungumzia mipango ya ndoa......
Tukaamua nikifika keshokutwa yake tupange zaidi....
Baada ya jokes za hapa na pale akanipa ushauri mzito...ushauri ambao nimekuja kuutumia na kunifaa maishani........

Nilikosa usingizi that day.......
Nikakumbuka ndoto niliyoota kama miezi mitatu nyuma....
Niliota amepata ajali na kaumia.....
Nikaiootezea.....

Kesho yake nikaamka saa kumi na moja asubuhi.....nikaghairi kwendz kanisani, ila nikawaamsha wenzangu nikawaambia waende kanisani....

Ilipotimu saa kumi na mbili nikapokea simu.....
Nikaambiwa 'fulani ' tumempoteza.....
Amepata ajali ........
Gari yake imegongana na lori.....


It took me two years to heal.....
Kwa sala na maombi.........................

Mkuu, I'm so touched with your story. Pole na vyema you had a courage to move on.

Kongosho pole mamii..kupoteza watu tunaowapenda maishani ni pigo kubwa sana..
 
unachezeiya Konnie wewe?

Akate kamba aanzie wapi? Ana jeuri?
Nimetoka kumwongeza dozi ya limbwata mwezi ulopita, siku hizi anakunywa limbwata mwenyewe.

Kongosho mbona haya madhara ni makubwa hivi lol....eti kama asingechungulia UPE angekuwa mchawi tehe, tehe!.... hay na wewe kimekusibu nini? ....ndio kusema mateka kakata kamba moja kwa moja?
 
Last edited by a moderator:
iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.........................iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
unachezeiya Konnie wewe?

Akate kamba aanzie wapi? Ana jeuri?
Nimetoka kumwongeza dozi ya limbwata mwezi ulopita, siku hizi anakunywa limbwata mwenyewe.
Hahahahahah! kumbe huwa unashirikiana na mke mwe King'asti kupuliza msuba eeh?????...eti anakunywa mwenyewe lol.....
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom