Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,045
- 10,329
Nimeipenda style yako.kuna mpuuzi mwingine alinitapeli cement.ni fundi.nikaenda site anayojenga.nikaanza kuangusha kuta za ndani.alitamani kulia.bosi wake akanifuata nikamwambia muulize fundi wako.kwa nini nyumba ina bomolewa wakati yeye hana ugomvi na MTU?boss akanywea.