cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
Anaomba apigiwe debe kwa mzee AWEPO kwenye list ya u-DC!
mbn c oni kituuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu?
Kweli njaa mbaya.. Dahh
Jamani hiyo ni heshima au uoga? kazi ipo.
Hiyo ni jadi ya utumwa. Tunahitaji ukombozi wa kweli kuondokana na fikra kama hizo. Inapofika hali ya mke wa rais kusujudiwa kiasi hicho, sijui angekuwa rais mwenyewe ingekuwaje.
Mungu Tunasue kwenye mtego huu.
Aisee we jasiriHata mama yake aliyemzaa sidhani kama alishawahi kumheshimu hivo hata siku moja!!!!!!! walah hiyu ni chizi, Enzi za ujana tulibishana kijiweni, jamaa mmoja akasema akipewa elf30 tu anaweza kujisaidia hadharani kisha kuzoa kinyesi bila aibu yoyote.......walah huyo jamaa alitimiza masharti na kunichomoa buku30!!!! MAISHA MAGUMU KWA BAADHI YA WATANZANIA!
mbn c oni kituuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu?