Mlolongo wa Ajali za Barabarani Tanzania 2007-2011

Watu 14 wamekufa baada ya gari kupinduka eneo la msangamwelu barabara ya Mbalizi wakitokea mnadani. Source ITV.
 
Jumla ya watu 11 wamepoteza maisha na watu 43 kujeruhiwa vibaya baada ya ajali ya lori aina ya Fuso kupinduka huko wilayani chunya mkoani Mbeya.Lori hilo lilikuwa likifanya safari kutoka chunya kwenda Mbeya mjini na chanzo cha ajali ni mwendo mkali aliokuwa akiendesha dereva wa lori hilo bwana Kapufi.Source;STAR TV.
 
RIP watanzania wenzetu!
Sheria haziheshmiki, watu wanaiba benki kuu, trafiki wanachukua rushwa, madereva walevi.....aaaaaggggrrrrr......damn this government.
 
Jumla ya watu 11 wamepoteza maisha na watu 43 kujeruhiwa vibaya baada ya ajali ya lori aina ya Fuso kupinduka huko wilayani chunya mkoani Mbeya.Lori hilo lilikuwa likifanya safari kutoka chunya kwenda Mbeya mjini na chanzo cha ajali ni mwendo mkali aliokuwa akiendesha dereva wa lori hilo bwana Kapufi.Source;STAR TV.

mkuu waliokufa ni 14.roho zilazwe mahali pema peponi.
 
Watu 14 wamekufa baada ya gari kupinduka eneo la msangamwelu barabara ya Mbalizi wakitokea mnadani. Source ITV.

kwa hili halihitaji tume ya ulaji kulichunguza, mungu awalaze mahali pema waliotungaulia mbele ya haki, na awajalie na wapone mapema ili waendelee na majukumu yao ya kila siku
 
Hawa madereva wanaendesha magari wakiwa na stress za maisha. Watatumaliza kwakweli.
 
Bwana ametoa, Bwana ametwaa.
jina la bwana libarikiwe.
Ajali haina kinga.
The dead are always guilty (Ghana)
 
rip0615071.gif
 
Msanga Mwelu napajua sana, ni njia ya kwenda Chunya. Eneo hilo lina ujambazi sana. Majambazi hutega mawe makubwa sana barabarani kisha huvamia wakiwa na mibunduki yao.
Hebu tusubiri maelezo zaidi kutoka kwa mashuhuda
 
Msanga Mwelu napajua sana, ni njia ya kwenda Chunya. Eneo hilo lina ujambazi sana. Majambazi hutega mawe makubwa sana barabarani kisha huvamia wakiwa na mibunduki yao.
Hebu tusubiri maelezo zaidi kutoka kwa mashuhuda

kama sehemu yenyewe inaeleweka kwa ujambazi serikali pamoja na raia wangechukua hatua madhubui kwa matatizo hayo kwani yawezekana wengine wakawa ni raia jirani.
 
Enzi za waziri Kusila serikali iliwahakikishia wananchi kuwa mabasi ya abiria yakifungwa 'speed governor' neno ajali lingebaki kuwa historia, governor zilifungwa mabasi yakaendelea kunywa damu za abiria. Mwaka jana tuliambiwa madereva wote wakipata leseni mpya, ajali zitatoweka badala yake ajali zimeongezeka zaidi, je serikali inajua ifanyalo?
 
Back
Top Bottom