Access Denied
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 655
- 209
Mlokole mwenye guest
alikataa yanki mmoja
aliyekuja na mama mtu
mzima kupata chumba
akisisitiza kuwa guest yake
hairuhusu uasherati. Yule
mama akaja juu na
kumwambia Mlokole kuwa
yule kijana ni mwanae,
basi wakapewa chumba.
Mlokole akamtuma
muhudumu mmoja
akachungulie kwenye
dirisha la wapangaji hao ili
kuona kama kweli ni mtu
na mzazi wake. Baada ya
muda muhudumu akarudi
na jibu,' Mzee kweli wale ni
mtu na mtoto wake,
nimemuona yule mama
anamnyonyesha mwanae'
alikataa yanki mmoja
aliyekuja na mama mtu
mzima kupata chumba
akisisitiza kuwa guest yake
hairuhusu uasherati. Yule
mama akaja juu na
kumwambia Mlokole kuwa
yule kijana ni mwanae,
basi wakapewa chumba.
Mlokole akamtuma
muhudumu mmoja
akachungulie kwenye
dirisha la wapangaji hao ili
kuona kama kweli ni mtu
na mzazi wake. Baada ya
muda muhudumu akarudi
na jibu,' Mzee kweli wale ni
mtu na mtoto wake,
nimemuona yule mama
anamnyonyesha mwanae'