Mlisema Hayati Magufuli amekata miti milioni 3 mvua hazitanyesha

Sasa hivi sehemu za Marekani na Japan zina baridi ambayo haijawahi kuonekana. Mwaka huu Uingereza ilikumbwa na joto ambalo lilisababisha mataruma kupinda.

Tunaposema kuwa tabia nchi itabadilika tunamaanisha kuwa kutakuwa na ukame ambao hatutarajii, mara moja moja zitanyesha mvua kubwa kuliko tulivyozea, tutakuwa na vimbunga kuliko kawaida. Athari nyingine ni kuwa kutokana na kukatwa miti maji yanayoingia mtoni yanakuwa na matope mengi hivyo kupelekea mabwawa kujaa mapema. Mtera na Kiwira zinakosa maji kutokana na matope kujaa. Nyie endeleeni kubisha maana majuto ni mjukuu.

Amandla.....
Hawa watu wanajikuta wajuaji ilhali hakuna wanachokijua
 
Ukweli- Katika Historia ya Tanzania, ni Serikali ya Hayati Raisi J.P.M ndio iliyopanda miti mingi kuliko Serikali nyingine hapa Tanzania. Huo ndio Uongozi.

Huko nyuma kulikuwa na , "Ndege za Lowassa" zilizodaiwa kumwaga kemikali ili mvua zinyeshe, nyuma yake, na niko Tayari kusahihishwa, Tanzania tulikuwa tunakata na kuuza miti katika masoko ya nje bila kujali athari ambazo zingetokea- lakini unaja sikia ati ni kwasababu ya 'Kuni' za kupikia ndio sababu ya kuporimoka kwa misitu... n.k ikiwa ndio pia sababu ya kuongezeka kwa joto n.k

Miaka nenda rudi Waafrika kwa Ujumla tumekuwa tunatumia nguvu ya kuni na Mkaa kwa ajili ya kupika na bado mvua zilikuwa zinanyesha!!??? ...leo hii wanakata miti na misitu kwa mahekari kuuza nje lakini kwasababu zisizoeleweka tunaambiwa wanakata kwa weledi na hivyo basi, kukata huko(kwa weledi) hakusababishi ukame, wala kuongeza joto n.k n.k

Kuna sehemu tunadanganywa tena sana.

...fanya utafiti wako ujitosheleze
Ingependeza kama ungeweka takwimuhapa utuambie wakati wa JPM ilipandwa miti mingapi na ilipandwa wapi
 
Kuna watu walitumia kodi za watanzania kusoma lakini bado ni wajinga na malofa ya kutupwa yasiyoweza kutumia akili zao hata kidogo.

Yapo mengine Ubelgiji na mengine Ufipa ambayo watoto wao ni raia wa Marekani yalitangaza kwamba kwa kuwa Magufuli amekata miti milioni 3 ili kujenga bwawa la umeme kwenye mbuga ya Selous basi mvua hazitanyesha tena Tanzania!

Lakini sasa mvua inanyesha kila mahali tena kwa wingi sana lakini kwa aibu hayo majitu yapo Ubelgiji yakifakamia vyakula vya wazungu bila aibu kabisa.
Jaribu kujitambua hata kidogo,just wait mabadiliko ya tabia nchi ni halisi muda utajibu kila kitu na mtandao hua haufutiki wala hausahaui let me screenshot huu ujumbe na after six months jibu litapatikana
 
Mvua moja tu sherehe. unajua mpaka mazao yafikie kuvunwa yanahitaji mvua za muda gani na za kiasi gani ?mkuu miti imekatwa na bwawa linasonga kwa mwendo wa Kobe si ajabu litaisha na umeme bado ukawa shida mkisingizia ukame aibu juu yenu CCM...
Wanajua hilo basi pimbi hawa
 
Hii nchi haiwezi kuendelea kwa sababu ya majitu majinga kama hayo mkuu.

Tuna bahati mbaya sana kushea uraiya na watu wa hovyo kamahao waliosema mvua hazinyeshi kwa sababu Magufuli alikata miti kupisha ujenzi wa bwawa la umeme.

"Time always interprets the mindset of stupid and smart people".
Wakati mwingine jaribuni kuficha upumbavu wenu jamani hivi hizi mvua zinazonyesha wiki mbili hizi tu mmeshaanza kutukana hamkumbuki tumepigwa na ukame muda gani? Mna uhakika zitaendelea kunywesha mpaka tuvune?

Halafu mnaelewa nini wasomi wanapozungumzia mabadiliko ya tabia nchi? Mvua zinasuasua halafu zinakuja kunywesha mvua kubwa Kwa muda mfupi wa kama wiki 1au 2 mnaona ni kawaida?

Jamani tusitumie vichwa kufuga nywele
 
Mabwawa mengi yanayotegemea mvua utendaji wake sio mzuri na mara nyingi tope hujaa na kupunguza ufanisi.Tuna jua la kutosha,tuna upepo wa kutosha yanini kutumia mapesa kibao kujenga bwawa linalotegemea mvua?
 
Umepaniki, jibu hoja.
Mlisema mvua hazinyeshi kwasababu miti imekatwa, Sasa mseme zinanyesha kwa sababugani otherwise kubalini tu akilizenu ni fupi.
Nyie ndio mna akili fupi, hivi nchi imepigwa na ukame Kwa muda gani mpaka vyakula vimepanda bei mara 3?

Hizi mvua zinanyesha kubwa sana Kwa muda mfupi una uhakika tutavuna?

Unaelewa Nini kuhusu mabadiliko ya tabia-nchi? Au mnafikiri wasomi ni wapumbafu kama ninyi? Jamani Mungu alituwekea ule ujiuji mzito vichwani ili tuutumie vizuri naona wengine mnauchukulia kama ni kamasi vile.

Maskini nchi yangu dah!
 
Ni mwaka gani mbowe alishindwa ubunge alafu akaenda mahakamani kupinga matokeo?

Toka ameanza kugombea ubunge hajawahi kushindwa, na 2020 hakukuwa na uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Sasa angeenda mahakamani kufuata nini kwa ushenzi ule?
 
Toka ameanza kugombea ubunge hajawahi kushindwa, na 2020 hakukuwa na uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Sasa angeenda mahakamani kufuata nini kwa ushenzi ule?
Hiyo 2020 alipinga mahakama ipi huo ujinga?
 
Ushahidi ninao Tundu Lisu Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipigwa risasi kwenye utawala wa Rais gani na ni hatua gani mahsusi zilichukuliwa na Serikali hiyo ku rescue maisha yake?
Brother serikali ni serikali unatakiwa ujiokoe ww kwanza. Haya Lissu kapigwa risasi ulitka serikali ifanye nin, Ww ukiugua serikali hua inakupeleka hospital, Lkn huko mahosptalini haukuti madawa na madaktari.
 
Ushahidi ninao Tundu Lisu Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipigwa risasi kwenye utawala wa Rais gani na ni hatua gani mahsusi zilichukuliwa na Serikali hiyo ku rescue maisha yake?
Chacha Wangwe aliuawa mwenyekiti wa Chadema akiwa nani?
 
Back
Top Bottom