Haa Kariakoo WatakutengenezaNi nzuri eeeeh...
Nikiwa na laki ngapi niende Kariakoo nikaichukue?
Kwa sasa natumia Infinix Hot 11
Simu nzr lakini sifahamu kwa nn imeshuka bei ghafla?Naomba kujuzwa ubora wa hii simu kwa anaeifaham ram 8 gb
256gm
Note 12 pro zipo za aina 2 ya 4G na 5G, bongo naona nyingi zipo 4G na bei yake inarange kati ya 550k hadi 650k labda kama zimeshuka zaidi ya hapo sasa hivi,hizo za 5G zinaanzia 800k na kuendelea,nadhani zitakuwa ni kali zaidi,kuzijua utofauti wake kwa haraka 5G ina main camera 3 na 4G ina camera 4.Naomba kujuzwa ubora wa hii simu kwa anaeifaham ram 8 gb
256gm
tupo pamojaHaina haja kuwaza mara mbili mie natumia redmi 11 T pro ipo vizuri