MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Uvivu na Kupenda kula Bata unawaponza. Mliitaka iwe Alhamisi ya leo ili Siku za Kula Bata ziwe Nne ( Alhamisi, Ijumaa, Jumamosi na Jumapili )
Mlivyoona Kimahesabu kula Eid Alhamisi ( yaani Leo ) haiwezekani mkataka sasa Kulazimisha kuwa Eid iwe Kesho Ijumaa ili kama Kawaida ya kuwa Kwetu Wavivu na Kupenda kula Bata mpumzike Siku Tatu ( Ijumaa, Jumamosi na Jumapili )
Sasa tarehe ya uhakika ya Kula Eid ambayo imepangwa na Mwenyezi Mungu ( Allah ) Mwenyewe kwa mwaka huu ni tarehe 22 April, 2023 ( ambayo itakuwa ni Keshokutwa Jumamosi ) hivyo acheni Uvuvu Kesho Ijumaa ni Siku ya Kazi Kazi kama Kawaida na kwa Wanafunzi wanatakiwa kwenda Shuleni kuendelea Kusoma na hakuna Kulala.
Na Sikukuu mtakula / mtaila Siku ya Jumamosi ambayo itakuwa ni Eid Mosi na kumalizia Siku ya Jumapili ambayo itakuwa ni Eid Pili na Jumatatu utamaduni wa Watu kwenda Kazini Kuwajibika na Shuleni Kuelimika inaendelea.
Ukiununia huu Uzi Mie wala sijali ng'o!
Mlivyoona Kimahesabu kula Eid Alhamisi ( yaani Leo ) haiwezekani mkataka sasa Kulazimisha kuwa Eid iwe Kesho Ijumaa ili kama Kawaida ya kuwa Kwetu Wavivu na Kupenda kula Bata mpumzike Siku Tatu ( Ijumaa, Jumamosi na Jumapili )
Sasa tarehe ya uhakika ya Kula Eid ambayo imepangwa na Mwenyezi Mungu ( Allah ) Mwenyewe kwa mwaka huu ni tarehe 22 April, 2023 ( ambayo itakuwa ni Keshokutwa Jumamosi ) hivyo acheni Uvuvu Kesho Ijumaa ni Siku ya Kazi Kazi kama Kawaida na kwa Wanafunzi wanatakiwa kwenda Shuleni kuendelea Kusoma na hakuna Kulala.
Na Sikukuu mtakula / mtaila Siku ya Jumamosi ambayo itakuwa ni Eid Mosi na kumalizia Siku ya Jumapili ambayo itakuwa ni Eid Pili na Jumatatu utamaduni wa Watu kwenda Kazini Kuwajibika na Shuleni Kuelimika inaendelea.
Ukiununia huu Uzi Mie wala sijali ng'o!