Mliomkejeli Hayati Magufuli, Ziwa Victoria lilifunguliwa, Samaki wametoweka

Utaratibu wa kuuza nyama pori kabla ya magu na baada ya magu ni tofauti na sio hivyo tu alidhibiti uwindaji holela na pia ishu za maharamia zilifutika kabisa na kama zilitokea ni kwa utata sana, kitu ambacho kilisababisha wanyama pori wakaongezeka sana tena kwa wiiiiingi ambapo sizani kama itakuja kutokea tena hii nina kumbukumbu nzuri pia nina uelewa mzuri sana!
Aliyeruhusu mabucha ya wanyama pori ni nani? Acha ngonjera
 
Hii haiondoi ukweli wa kwamba Jiwe alikuwa muuaji, jambazi mpora fedha na biashara za watu, mtekaji, mtesaji, dictator aliyeua democracy mpaka leo wabunge wote ni wa kuteuliwa(literally hakukuwa na uchaguzi 2020), alisababisha nchi ikawa na wakimbizi leo wanapokelewa kama wafalme, alilea majambazi yaliyofanya robberies mchana kweupe(wasiojulikana/Sabaya/Makonda)
Yaani atakumbukwa zaidi kwa mabaya yake pamoja na kelele zenu nyingi nyinyi walinda 'legacy' wa Sukuma gang.
NB: Marais wote hufanya kazi na hulipwa kwa kufanya hizo kazi kwani waliomba ridhaa wenyewe na wakachaguliwa(hata hao waliopita kwa kuiba kura) ili wafanye kazi hizi, si sifa mtu anapotimiza wajibu na analipwa kwa kutimiza wajibu huo bali asememwe na akaripiwe yule asiyetimiza wajibu huku akilipwa ujira wake.
-Hivi wale watu aliowaua na kuwatesa kati yao na samaki aliokuwa akiwatetea na kuwalinda kipi alipaswa kukilinda? This just popped into my mind.

Ndioooooooooo
 
Moja ya mambo ambayo Magufuli aliyoyasimamia ni pamoja na uvuvi haramu wa samaki katika Ziwa Victoria na Bahari ya Hindi. Jambo ambalo lilipelekea kufungwa kwa shughuli zote za uvuvi nchini kwa takriban miezi sita au zaidi.

Sote ni mashahidi kwamba zoezi lile lilileta mafanikio kwa samaki kuongezeka na hivyo kurudisha uhai katika sekta ya uvuvi nchini Tanzania. Ikiwa pia ni mchango mkubwa kwenye pato la taifa, kupitia kodi iliyopatkana kupitia usafirishaji wa minofu ya samaki kwenda nchi za nje.

Lakini zoezi hilo halikuwa rahisi, kwa sababu wale wafanyabiashara wa nyavu haramu pamoja na mawakala wao, waliwatumia baadhi ya wabunge na viongozi wa vyama pinzani, hususan CHADEMA. Ili kulipinga zoezi lile.

Wakimtuhumu Hayati Magufuli kwamba anawafilisi wavuvi na kuiua sekta ya uvuvi nchini. Hii ilipamba moto hasa pale aliyekuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi wakati huo, Luhaga Mpina, alipoamua kwa ujasiri, kuanzia pale Bungeni kuwapima samaki waliokuwa wanahudumiwa kwenye migahawa kadhaa pale Dodoma, ili kujiridhisha na ukubwa wao kama ni halali na kama wamepitia njia sahihi.

Sasa ni miaka takribani miwili imepita, tangu hayati Magufuli amefariki.

Nchi iko chini ya utawala wa Awamu ya sita, ikiongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Alifungua nchi kama wanavyonadi "Chawa wa Mama".

Samaki Ziwa Victoria wako hatarini kutoweka! Yote hii ni kutokana na uvuvi holela na haramu kupitia nyavu haramu na Baruti, sababu kila kitu kilichofanywa na Magufuli kiliitwa 'Ubabe'.

Sasa nawataka wale waliokuwa wakipinga hatua za udhibiti wa nyavu haramu na uvuvi haramu pia.

Waje watuambie njia mbadala ya kutulisha samaki! Maana samaki wazazi ziwa victoria wamebaki kwa 4% pekee. Muda ni shahidi mzuri sana, maana huwa unaongea kwa vitendo.

Miaka miwili ya ziwa kufunguliwa holela, imepelekea madhara makubwa kwa wananchi mbali na kukosekana kwa kitoweo muhimu kwa afya za Watanzania.

Lakini pia ni pigo kubwa kwenye sekta ya samaki kuhusiana na kukosekana kwa kodi ambayo ingetokana na usafirushaji minofu ya samaki kwenda nje ya nchi.

"Uhuru bila Utii ni Wendawazimu," JK.Nyerere.
lakini wanaofanya huo uvuvi haramu si ni hao hao viongozi vigogo wa ccm?wakati wa JPM aliyelivunga ziwa ni kiongozi wa ccm na sasa walioruhusu uvuvi haramu ni ccm hao hao basi endeleeni kuraruana nyie kwa nyie.
 
Moja ya mambo ambayo Magufuli aliyoyasimamia ni pamoja na uvuvi haramu wa samaki katika Ziwa Victoria na Bahari ya Hindi. Jambo ambalo lilipelekea kufungwa kwa shughuli zote za uvuvi nchini kwa takriban miezi sita au zaidi.

Sote ni mashahidi kwamba zoezi lile lilileta mafanikio kwa samaki kuongezeka na hivyo kurudisha uhai katika sekta ya uvuvi nchini Tanzania. Ikiwa pia ni mchango mkubwa kwenye pato la taifa, kupitia kodi iliyopatkana kupitia usafirishaji wa minofu ya samaki kwenda nchi za nje.

Lakini zoezi hilo halikuwa rahisi, kwa sababu wale wafanyabiashara wa nyavu haramu pamoja na mawakala wao, waliwatumia baadhi ya wabunge na viongozi wa vyama pinzani, hususan CHADEMA. Ili kulipinga zoezi lile.

Wakimtuhumu Hayati Magufuli kwamba anawafilisi wavuvi na kuiua sekta ya uvuvi nchini. Hii ilipamba moto hasa pale aliyekuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi wakati huo, Luhaga Mpina, alipoamua kwa ujasiri, kuanzia pale Bungeni kuwapima samaki waliokuwa wanahudumiwa kwenye migahawa kadhaa pale Dodoma, ili kujiridhisha na ukubwa wao kama ni halali na kama wamepitia njia sahihi.

Sasa ni miaka takribani miwili imepita, tangu hayati Magufuli amefariki.

Nchi iko chini ya utawala wa Awamu ya sita, ikiongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Alifungua nchi kama wanavyonadi "Chawa wa Mama".

Samaki Ziwa Victoria wako hatarini kutoweka! Yote hii ni kutokana na uvuvi holela na haramu kupitia nyavu haramu na Baruti, sababu kila kitu kilichofanywa na Magufuli kiliitwa 'Ubabe'.

Sasa nawataka wale waliokuwa wakipinga hatua za udhibiti wa nyavu haramu na uvuvi haramu pia.

Waje watuambie njia mbadala ya kutulisha samaki! Maana samaki wazazi ziwa victoria wamebaki kwa 4% pekee. Muda ni shahidi mzuri sana, maana huwa unaongea kwa vitendo.

Miaka miwili ya ziwa kufunguliwa holela, imepelekea madhara makubwa kwa wananchi mbali na kukosekana kwa kitoweo muhimu kwa afya za Watanzania.

Lakini pia ni pigo kubwa kwenye sekta ya samaki kuhusiana na kukosekana kwa kodi ambayo ingetokana na usafirushaji minofu ya samaki kwenda nje ya nchi.

"Uhuru bila Utii ni Wendawazimu," JK.Nyerere.
Wapi chadema walitetea uvuvi haramu. Watanzania yatupasa tujue tunakosea wapi tusitafute wa kulaumu
Kuna uharibifu mkubwa wa mazingira maeneo kilimo kikubwa kinapoendeshwa.
Nimeshuhudia watu wakifyeka maelfu ya eka kisha wanalima bila utaalam, eka mia moja mtu anavuna gunia 600 nadi 800 badala ya gunia 3000 kama angelima kitaalam. Kwa kulima kitaalam magunia 600 ni eka 20 tu kwa hiyo misitu eka 80 inaokolewa.
Wataalamu wetu wako wapi na waliokabidhiwa majukumu ya kulinda rasilmali zetu wanafanya nini?
Sasa tunakuja na stori hapa kulaumu mtu mmoja na kumsifia mwingine, huu ni ujinga.
Nchi ijengwe kwa sheria na taratibu kila mtu awajibike kwa nafasi yake. Utaratibu wa kiutawala ni muhimu katiba bora ni muhimu hizi blaablaa hazitstufikisha mbali
 
Eheeee Mwenye Enzi Mungu nakuomba uibariki Tanzania yangu, wabaya wote wanao haribu nchi yangu Tanzania uwachome kwa moto wao na vizazi vyao mpaka cha nne!
Wale Malaika wakuu wawili walio angamiza Sodoma na Ghomora, nakusihi ehee Mwenye Enzi Mungu waende waka angamize hizo familia zinazo haribu nchi yangu!
Naomba na nakuamini kwamba uta tenda!
Aaamina
 
Hii haiondoi ukweli wa kwamba Jiwe alikuwa muuaji, jambazi mpora fedha na biashara za watu, mtekaji, mtesaji, dictator aliyeua democracy mpaka leo wabunge wote ni wa kuteuliwa(literally hakukuwa na uchaguzi 2020), alisababisha nchi ikawa na wakimbizi leo wanapokelewa kama wafalme, alilea majambazi yaliyofanya robberies mchana kweupe(wasiojulikana/Sabaya/Makonda)
Yaani atakumbukwa zaidi kwa mabaya yake pamoja na kelele zenu nyingi nyinyi walinda 'legacy' wa Sukuma gang.
NB: Marais wote hufanya kazi na hulipwa kwa kufanya hizo kazi kwani waliomba ridhaa wenyewe na wakachaguliwa(hata hao waliopita kwa kuiba kura) ili wafanye kazi hizi, si sifa mtu anapotimiza wajibu na analipwa kwa kutimiza wajibu huo bali asememwe na akaripiwe yule asiyetimiza wajibu huku akilipwa ujira wake.
-Hivi wale watu aliowaua na kuwatesa kati yao na samaki aliokuwa akiwatetea na kuwalinda kipi alipaswa kukilinda? This just popped into my mind.
Mkapa alizalisha Wakimbizi na watu wengine walikufa Baharini walikimbia machafuko ya kisiasa zlZanzibar mwaka 2000.

Kikwete aliuw Watanzania kupitia Mabomu ya Mbagala kutokana na uzembe wa utawala wake.Pia usisahau kutekwa kwa Dr Ulimboka na kuuwawa kinyama kwa Mwandishi wa habari Channel ten Daud Mwangosi.Bado vijana walioteketea kwa matumizi ya madawa ya kulevya baada ya Tanzania kugeuzwa uchochoro wa usafirishaji wa madawa ya kulevya kwenda Far East.
Mwaka 2011vijana wa CHADEMA waliuwawa kwa risasi na mabomu ya Polisi Mkoani Arusha.
Vipi hayo mazonge unayajua au ulikuwa bado unanyonya kwa Mama yako!
Mwacheni JPM apumzike!
 
Moja ya mambo ambayo Magufuli aliyoyasimamia ni pamoja na uvuvi haramu wa samaki katika Ziwa Victoria na Bahari ya Hindi. Jambo ambalo lilipelekea kufungwa kwa shughuli zote za uvuvi nchini kwa takriban miezi sita au zaidi.

Sote ni mashahidi kwamba zoezi lile lilileta mafanikio kwa samaki kuongezeka na hivyo kurudisha uhai katika sekta ya uvuvi nchini Tanzania. Ikiwa pia ni mchango mkubwa kwenye pato la taifa, kupitia kodi iliyopatkana kupitia usafirishaji wa minofu ya samaki kwenda nchi za nje.

Lakini zoezi hilo halikuwa rahisi, kwa sababu wale wafanyabiashara wa nyavu haramu pamoja na mawakala wao, waliwatumia baadhi ya wabunge na viongozi wa vyama pinzani, hususan CHADEMA. Ili kulipinga zoezi lile.

Wakimtuhumu Hayati Magufuli kwamba anawafilisi wavuvi na kuiua sekta ya uvuvi nchini. Hii ilipamba moto hasa pale aliyekuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi wakati huo, Luhaga Mpina, alipoamua kwa ujasiri, kuanzia pale Bungeni kuwapima samaki waliokuwa wanahudumiwa kwenye migahawa kadhaa pale Dodoma, ili kujiridhisha na ukubwa wao kama ni halali na kama wamepitia njia sahihi.

Sasa ni miaka takribani miwili imepita, tangu hayati Magufuli amefariki.

Nchi iko chini ya utawala wa Awamu ya sita, ikiongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Alifungua nchi kama wanavyonadi "Chawa wa Mama".

Samaki Ziwa Victoria wako hatarini kutoweka! Yote hii ni kutokana na uvuvi holela na haramu kupitia nyavu haramu na Baruti, sababu kila kitu kilichofanywa na Magufuli kiliitwa 'Ubabe'.

Sasa nawataka wale waliokuwa wakipinga hatua za udhibiti wa nyavu haramu na uvuvi haramu pia.

Waje watuambie njia mbadala ya kutulisha samaki! Maana samaki wazazi ziwa victoria wamebaki kwa 4% pekee. Muda ni shahidi mzuri sana, maana huwa unaongea kwa vitendo.

Miaka miwili ya ziwa kufunguliwa holela, imepelekea madhara makubwa kwa wananchi mbali na kukosekana kwa kitoweo muhimu kwa afya za Watanzania.

Lakini pia ni pigo kubwa kwenye sekta ya samaki kuhusiana na kukosekana kwa kodi ambayo ingetokana na usafirushaji minofu ya samaki kwenda nje ya nchi.

"Uhuru bila Utii ni Wendawazimu," JK.Nyerere.
No no no nasema no. Samaki wapo wengi mpaka sasa hivi navua mpaka kunyanyua nashindwa kwa wingi wa samaki. Usiwadanganye watu
 
Moja ya mambo ambayo Magufuli aliyoyasimamia ni pamoja na uvuvi haramu wa samaki katika Ziwa Victoria na Bahari ya Hindi. Jambo ambalo lilipelekea kufungwa kwa shughuli zote za uvuvi nchini kwa takriban miezi sita au zaidi.

Sote ni mashahidi kwamba zoezi lile lilileta mafanikio kwa samaki kuongezeka na hivyo kurudisha uhai katika sekta ya uvuvi nchini Tanzania. Ikiwa pia ni mchango mkubwa kwenye pato la taifa, kupitia kodi iliyopatkana kupitia usafirishaji wa minofu ya samaki kwenda nchi za nje.

Lakini zoezi hilo halikuwa rahisi, kwa sababu wale wafanyabiashara wa nyavu haramu pamoja na mawakala wao, waliwatumia baadhi ya wabunge na viongozi wa vyama pinzani, hususan CHADEMA. Ili kulipinga zoezi lile.

Wakimtuhumu Hayati Magufuli kwamba anawafilisi wavuvi na kuiua sekta ya uvuvi nchini. Hii ilipamba moto hasa pale aliyekuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi wakati huo, Luhaga Mpina, alipoamua kwa ujasiri, kuanzia pale Bungeni kuwapima samaki waliokuwa wanahudumiwa kwenye migahawa kadhaa pale Dodoma, ili kujiridhisha na ukubwa wao kama ni halali na kama wamepitia njia sahihi.

Sasa ni miaka takribani miwili imepita, tangu hayati Magufuli amefariki.

Nchi iko chini ya utawala wa Awamu ya sita, ikiongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Alifungua nchi kama wanavyonadi "Chawa wa Mama".

Samaki Ziwa Victoria wako hatarini kutoweka! Yote hii ni kutokana na uvuvi holela na haramu kupitia nyavu haramu na Baruti, sababu kila kitu kilichofanywa na Magufuli kiliitwa 'Ubabe'.

Sasa nawataka wale waliokuwa wakipinga hatua za udhibiti wa nyavu haramu na uvuvi haramu pia.

Waje watuambie njia mbadala ya kutulisha samaki! Maana samaki wazazi ziwa victoria wamebaki kwa 4% pekee. Muda ni shahidi mzuri sana, maana huwa unaongea kwa vitendo.

Miaka miwili ya ziwa kufunguliwa holela, imepelekea madhara makubwa kwa wananchi mbali na kukosekana kwa kitoweo muhimu kwa afya za Watanzania.

Lakini pia ni pigo kubwa kwenye sekta ya samaki kuhusiana na kukosekana kwa kodi ambayo ingetokana na usafirushaji minofu ya samaki kwenda nje ya nchi.

"Uhuru bila Utii ni Wendawazimu," JK.Nyerere.
Tunazidi kujifunza jinsi ambavyo nyie Sukuma Gang mnavyotapatapa baada ya kuondokewa na mpendwa wenu.
 
Magufuli alizuia wavuvi wasivue, alitegemea wale wapi? Kuna siku yeye alifanya kazi bila mshahara kwa miezi sita? Kama samaki wameisha huo ndio uhalisia. Usitake kuonyesha kama alifanya jambo la maana sana.
Hapo ndo mwisho wako wa kufikiria .siku hilo ziwa litakapobaki kama chemchem hao wavuvi watakula wapi
 
Hizo siasa tu za kusema samaki wazazi wapo 4% yaleyale kama kipindi cha kuambiwa uchumi wetu ni sungura mdogo

Samaki hawawezi kuisha acha kutupiga fix kwamba toka mwendazake aondoke samaki zimeliwa sana kiasi hicho mpk ziishe!! Kwa uwezo gani wa watz au hiyo export ilikuwa how much tons akili za kuambiwa changanya na zako
Haa huamini kuwa samaki wanawwza kuisha au ni ubishi kama ule wa kuzazi cha nuhu
 
Moja ya mambo ambayo Magufuli aliyoyasimamia ni pamoja na uvuvi haramu wa samaki katika Ziwa Victoria na Bahari ya Hindi. Jambo ambalo lilipelekea kufungwa kwa shughuli zote za uvuvi nchini kwa takriban miezi sita au zaidi.

Sote ni mashahidi kwamba zoezi lile lilileta mafanikio kwa samaki kuongezeka na hivyo kurudisha uhai katika sekta ya uvuvi nchini Tanzania. Ikiwa pia ni mchango mkubwa kwenye pato la taifa, kupitia kodi iliyopatkana kupitia usafirishaji wa minofu ya samaki kwenda nchi za nje.

Lakini zoezi hilo halikuwa rahisi, kwa sababu wale wafanyabiashara wa nyavu haramu pamoja na mawakala wao, waliwatumia baadhi ya wabunge na viongozi wa vyama pinzani, hususan CHADEMA. Ili kulipinga zoezi lile.

Wakimtuhumu Hayati Magufuli kwamba anawafilisi wavuvi na kuiua sekta ya uvuvi nchini. Hii ilipamba moto hasa pale aliyekuwa Waziri wa Mifugo na Uvuvi wakati huo, Luhaga Mpina, alipoamua kwa ujasiri, kuanzia pale Bungeni kuwapima samaki waliokuwa wanahudumiwa kwenye migahawa kadhaa pale Dodoma, ili kujiridhisha na ukubwa wao kama ni halali na kama wamepitia njia sahihi.

Sasa ni miaka takribani miwili imepita, tangu hayati Magufuli amefariki.

Nchi iko chini ya utawala wa Awamu ya sita, ikiongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Alifungua nchi kama wanavyonadi "Chawa wa Mama".

Samaki Ziwa Victoria wako hatarini kutoweka! Yote hii ni kutokana na uvuvi holela na haramu kupitia nyavu haramu na Baruti, sababu kila kitu kilichofanywa na Magufuli kiliitwa 'Ubabe'.

Sasa nawataka wale waliokuwa wakipinga hatua za udhibiti wa nyavu haramu na uvuvi haramu pia.

Waje watuambie njia mbadala ya kutulisha samaki! Maana samaki wazazi ziwa victoria wamebaki kwa 4% pekee. Muda ni shahidi mzuri sana, maana huwa unaongea kwa vitendo.

Miaka miwili ya ziwa kufunguliwa holela, imepelekea madhara makubwa kwa wananchi mbali na kukosekana kwa kitoweo muhimu kwa afya za Watanzania.

Lakini pia ni pigo kubwa kwenye sekta ya samaki kuhusiana na kukosekana kwa kodi ambayo ingetokana na usafirushaji minofu ya samaki kwenda nje ya nchi.

"Uhuru bila Utii ni Wendawazimu," JK.Nyerere.
Acheni UWONGO!! Ziwa lipo hapo toka miaka millioni. Watanzania wanavua na kufaidi raslimali za ziwa toka kabla ya ukoloni hadi leo. Magufuli kazaliwa mwaka 1959 na samaki wamekuwa wanavuliwa kabla hajakuwa Rais. Na amekufa wataendelea kuvuliwa kama kawaida. Acheni kumuabudu yule kichaa tulimzika Chato mwaka 2021
 
Back
Top Bottom