DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,427
- 46,685
Hatari matusi ndo mnayaweza tuWewe ni tako la msimbe!
Hatari matusi ndo mnayaweza tuWewe ni tako la msimbe!
Mimi nimekula samaki tangu nazaliwa till now bila kufunga ziwa huyo muuaji alikuwa ana wa brainwashed Sana wabongoWee Muhaya huna akili, unaishi Ishi tu bila kufatilia kinachoendelea Nchini kwako.
Ana wa brainwashed .Mimi nimekula samaki tangu nazaliwa till now bila kufunga ziwa huyo muuaji alikuwa ana wa brainwashed Sana wabongo
Yes Mimi habari za kufunga ziwa naona zilikuwa upuuzi unabidi kutumia Akili katika haya mambo ya Maisha ya watu na sio kukurikia kila Jambo.Ana wa brainwashed .
😂😂😂
Wasomi wa kihaya.
Kwa hiyo tukamfufue au tufanye sasa?Uongo ni upi hapo?
Sio "repleaciable" bali ni "replaceable"
Unakurupuka ku quote bila uelewa wa content husika!
Siongelei nafasi bali naongelea uthubutu na udhibiti kuhudu usimamizi wa raslimali za nchi hii.
Shu-up kama hunielewi.
Wabongo wanadhani ziwa Victoria ni lakwao tu unaachakuvua wewe Uganda anavua kwake kenya anavua kwake tatizo Kuna wabongo walimwacha Mungu nakumwaabudu binadamu naye akajiinua nakufurahi pale watu walimfananisha na Yesu mara Mungu amshukuru Magufuli wakati Mungu wetu ni Mungu Mwenye wivu pale anapomwona mwanadamu aliyemuumba anatukuzwa kuliko yeye ndiyo maana akamoondoa mapemaYes Mimi habari za kufunga ziwa naona zilikuwa upuuzi unabidi kutumia Akili katika haya mambo ya Maisha ya watu na sio kukurikia kila Jambo.
Utakuwa una kumbukumbu fupi sana, aliyeruhusu nyama za wanyama wa porini kuuzwa ni nani kama sio huyo Magufuli?Yaani yule mtu alikua ni version ya peke yake shida tu siasa zake ndio zilikua mtihani na ilibidi iwe hivyo maana sisi wabongo bila kupata mtu kama yule hatuendi!
Wanyama wenyewe wa porini waliongezeka sana ila sasahv mabucha ya nyama pori yapo mpaka uchochoroni kwa bei sawa na bure
Moja ya mambo ambayo Magufuli aliyoyasimamia ni pamoja na uvuvi haramu wa samaki katika Ziwa Victoria na Bahari ya Hindi. Jambo ambalo lilipelekea kufungwa kwa shughuli zote za uvuvi nchini kwa takriban miezi sita au zaidi.
Sote ni mashahidi kwamba zoezi lile lilileta mafanikio kwa samaki kuongezeka na hivyo kurudisha uhai katika sekta ya uvuvi nchini Tanzania. Ikiwa pia ni mchango mkubwa kwenye pato la taifa, kupitia kodi iliyopatkana kupitia usafirishaji wa minofu ya samaki kwenda nchi za nje. Lakini zoezi hilo halikuwa rahisi, kwa sababu wale wafanyabiashara wa nyavu haramu pamoja na mawakala wao.
Waliwatumia baadhi ya wabunge na viongozi wa vyama pinzani, hususan Chadema. Ili kulipinga zoezi lile. Wakimtuhumu Marehemu Magufuli kwamba anawafilisi wavuvi na kuiua sekta ya uvuvi nchini. Hii ilipamba moto hasa pale aliyekuwa waziri wa mifugo na uvuvi wakati huo, Mheshimuwa Luhaga Mpina, alipoamua kwa ujasiri, kuanzia pale Bungeni kuwapima Samaki waliokuwa wanahudumiwa kwenye migahawa kadhaa pale Dodoma, ili kujiridhisha na ukubwa wao kama ni halali na kama wamepitia njia sahihi.
Sasa ni miaka takribani miwili tangu Marehemu Magufuli amefariki. Samaki ziwa victoria wako hatarini kutoweka! Yote hii ni kutokana na uvuvi holela na haramu kupitia nyavu haramu na Baruti, sababu kila kitu kilichofanywa na Magufuli kiliitwa 'Ubabe'.
Sasa nawataka wale waliokuwa wakipinga waje watuambie njia mbadala ya kutulisha samaki! Maana samaki wazazi ziwa victoria wamebaki kwa 4% pekee. Muda ni shahidi mzuri sana, maana huwa unaongea kwa vitendo. Miaka miwili.
umekurupuka vibaya hata hujasoma ukaelewa kilichoandikwa ....sadAcha uongo everyone is repleaciable
hivi huyo lissu wenu yuko wapi sasa mbona kimyaNchi imkumbuke muuaji aliyemuumiza Lissu ?
Sawa tuupe muda nafasi.Jambo baya sana kufikiria kumpata mtu kama Magufuri kwenye nchi huru ni umaskini wa mawazo.
Shoga ninyi sukuma gang ndiyo maana kwenu kesi za ubakaji na ufiraji wa watoto wenu haziishi.Uhuru upi au wenu nyinyi mashoga?
Ngoja tukuchek kweny VAR kwanza! VAR Loading......👇👇Moja ya mambo ambayo Magufuli aliyoyasimamia ni pamoja na uvuvi haramu wa samaki katika Ziwa Victoria na Bahari ya Hindi.
Jambo ambalo lilipelekea kufungwa kwa shughuli zote za uvuvi nchini kwa takriban miezi sita au zaidi.
Sote ni mashahidi kwamba zoezi lile lilileta mafanikio kwa samaki kuongezeka na hivyo kurudisha uhai katika sekta ya uvuvi nchini Tanzania.
Ikiwa pia ni mchango mkubwa kwenye pato la taifa, kupitia kodi iliyopatkana kupitia usafirishaji wa minofu ya samaki kwenda nchi za nje.
Lakini zoezi hilo halikuwa rahisi, kwa sababu wale wafanyabiashara wa nyavu haramu pamoja na mawakala wao.
Waliwatumia baadhi ya wabunge na viongozi wa vyama pinzani, hususan Chadema. Ili kulipinga zoezi lile.
Wakimtuhumu Marehemu Magufuli kwamba anawafilisi wavuvi na kuiua sekta ya uvuvi nchini.
Hii ilipamba moto hasa pale aliyekuwa waziri wa mifugo na uvuvi wakati huo, Mheshimuwa Luhaga Mpina, alipoamua kwa ujasiri, kuanzia pale Bungeni kuwapima Samaki waliokuwa wanahudumiwa kwenye migahawa kadhaa pale Dodoma, ili kujiridhisha na ukubwa wao kama ni halali na kama wamepitia njia sahihi.
Sasa ni miaka takribani miwili imepita.
Tangu Marehemu Magufuli amefariki.
Nchi iko chini ya utawala wa Awamu ya sita.ikiongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Alifungua nchi kama wanavyonadi
"Chawa wa Mama"
Samaki ziwa victoria wako hatarini kutoweka! Yote hii ni kutokana na uvuvi holela na haramu kupitia nyavu haramu na Baruti, sababu kila kitu kilichofanywa na Magufuli kiliitwa 'Ubabe'.
Sasa nawataka wale waliokuwa wakipinga hatua za udhibiti wa nyavu haramu na uvuvi haramu pia.
Waje watuambie njia mbadala ya kutulisha samaki! Maana samaki wazazi ziwa victoria wamebaki kwa 4% pekee.
Muda ni shahidi mzuri sana, maana huwa unaongea kwa vitendo.
Miaka miwili ya ziwa kufunguliwa holela,imepelekea madhara makubwa kwa wananchi.mbali na kukosekana kwa kitoweo muhimu kwa afya za watanzania.
Lakini pia ni pigo kubwa kwenye sekta ya samaki kuhusiana na kukosekana kwa kodi ambayo ingetokana na usafirushaji minofu ya samaki kwenda nje ya nchi.
"UHURU bila UTII ni WENDAWAZIMU"...JK.Nyerere.
Hii haiondoi ukweli wa kwamba Jiwe alikuwa muuaji, jambazi mpora fedha na biashara za watu, mtekaji, mtesaji, dictator aliyeua democracy mpaka leo wabunge wote ni wa kuteuliwa(literally hakukuwa na uchaguzi 2020), alisababisha nchi ikawa na wakimbizi leo wanapokelewa kama wafalme, alilea majambazi yaliyofanya robberies mchana kweupe(wasiojulikana/Sabaya/Makonda)Moja ya mambo ambayo Magufuli aliyoyasimamia ni pamoja na uvuvi haramu wa samaki katika Ziwa Victoria na Bahari ya Hindi.
Jambo ambalo lilipelekea kufungwa kwa shughuli zote za uvuvi nchini kwa takriban miezi sita au zaidi.
Sote ni mashahidi kwamba zoezi lile lilileta mafanikio kwa samaki kuongezeka na hivyo kurudisha uhai katika sekta ya uvuvi nchini Tanzania.
Ikiwa pia ni mchango mkubwa kwenye pato la taifa, kupitia kodi iliyopatkana kupitia usafirishaji wa minofu ya samaki kwenda nchi za nje.
Lakini zoezi hilo halikuwa rahisi, kwa sababu wale wafanyabiashara wa nyavu haramu pamoja na mawakala wao.
Waliwatumia baadhi ya wabunge na viongozi wa vyama pinzani, hususan Chadema. Ili kulipinga zoezi lile.
Wakimtuhumu Marehemu Magufuli kwamba anawafilisi wavuvi na kuiua sekta ya uvuvi nchini.
Hii ilipamba moto hasa pale aliyekuwa waziri wa mifugo na uvuvi wakati huo, Mheshimuwa Luhaga Mpina, alipoamua kwa ujasiri, kuanzia pale Bungeni kuwapima Samaki waliokuwa wanahudumiwa kwenye migahawa kadhaa pale Dodoma, ili kujiridhisha na ukubwa wao kama ni halali na kama wamepitia njia sahihi.
Sasa ni miaka takribani miwili imepita.
Tangu Marehemu Magufuli amefariki.
Nchi iko chini ya utawala wa Awamu ya sita.ikiongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan. Alifungua nchi kama wanavyonadi
"Chawa wa Mama"
Samaki ziwa victoria wako hatarini kutoweka! Yote hii ni kutokana na uvuvi holela na haramu kupitia nyavu haramu na Baruti, sababu kila kitu kilichofanywa na Magufuli kiliitwa 'Ubabe'.
Sasa nawataka wale waliokuwa wakipinga hatua za udhibiti wa nyavu haramu na uvuvi haramu pia.
Waje watuambie njia mbadala ya kutulisha samaki! Maana samaki wazazi ziwa victoria wamebaki kwa 4% pekee.
Muda ni shahidi mzuri sana, maana huwa unaongea kwa vitendo.
Miaka miwili ya ziwa kufunguliwa holela,imepelekea madhara makubwa kwa wananchi.mbali na kukosekana kwa kitoweo muhimu kwa afya za watanzania.
Lakini pia ni pigo kubwa kwenye sekta ya samaki kuhusiana na kukosekana kwa kodi ambayo ingetokana na usafirushaji minofu ya samaki kwenda nje ya nchi.
"UHURU bila UTII ni WENDAWAZIMU"...JK.Nyerere.