Kingine ukimpa kitu kama zawadi atakipokea na atakuchekea vizuri tuu ila ukimpa mgongo anaenda kukitupa au anampa mtoto wako kama ni chakula ukimforce ale jua mtakula wote. Usipo kua makini unaloga watoto wako mwenyeweNina ka story Ila sito kaweka humu waziwazi
Ntakucheck
🤣🤣🤣Kaguswa dadako umepanicHofu ni kifo tosha.. we tayari ulisha kufa kwa hofu reality tu inasubiriwa hapo ukazikwe kwa ugonjwa wa hofu
Hakuna mwanamke asiye mlezi mzuri wa watoto wake👌Zingine siweki hapa maana zinatisha ila mbali na madudu yote wanawake wa kirombo ni walezi wazuri sana wa watoto na walinzi wazuri wa mali zako ila tuu mwanaume ukubali mchakamchaka, kupelekeshwa, kukakiwa, kushinda njaa, purukushani za hapa na pale mpaka unaingia /anakuingiza kaburini kwa namna yeyote ile.
Unamsukumiza kwenye mdomo wa mamba🤣🤣🤣Ndiomana zamani watu walioana mabinamu ili kupunguza migogoro, hii kukaribisha koo zingine ndo mnaleta wachawi na wauaji..!!
Sijui nilitaka kusema nini?? Mkuu oa huyo binti hakuna ajuaye kesho yake
Huyu kwa anavyotuponda humu dada mkubwa muache akatafunwe kabisaaa 😂😂😂Unamsukumiza kwenye mdomo wa mamba🤣🤣🤣
Bila kuoleana tungekua na ukabila na udini mkali na hii amani ya kulala na kuamka bila mikikimikiki ya vita isinge kuwepoNdiomana zamani watu walioana mabinamu ili kupunguza migogoro, hii kukaribisha koo zingine ndo mnaleta wachawi na wauaji..!!
Sijui nilitaka kusema nini?? Mkuu oa huyo binti hakuna ajuaye kesho yake
Wapo wanawake wa hovyo hawajui kulea watoto kabisa, fanya research alafu uje usome hii comment yako.Hakuna mwanamke asiye mlezi mzuri wa watoto wake
Dada mimi si wapondi na waambia ukweli, kikubwa na nyie niambieni ukweli kuhusu jambo langu acha chuki binafsi ni weke ndani au nijitoe chapuHuyu kwa anavyotuponda humu dada mkubwa muache akatafunwe kabisaaa
Ana mdomo sana
Moyo kichaka kineneAcha uoga mkuu kabila halina mchango sana kwenye tabia za mtu, ili mradi umejiridhisha yupo sawa,mnapendana na kuheshimiana that's what matters.
Kila lakheri kwenu
Mkuu,Kingine ukimpa kitu kama zawadi atakipokea na atakuchekea vizuri tuu ila ukimpa mgongo anaenda kukitupa au anampa mtoto wako kama ni chakula ukimforce ale jua mtakula wote. Usipo kua makini unaloga watoto wako mwenyewe
Hivi Mama Maria Nyerere, Mama Mkapa, Mama Fatma Karume, Mama Magufuli, Mama Lowassa, Mama Mwinyi hawa wote ni wamachame??Ndisindisombe
Vijiji vya machame vimejaa wajane
Habr ndo hiyo
Najua mmeacha ndio maana nashangaa wanavyowasingizia.Tumeshaacha!!!
Happy birthday
Mrembo WA MDA, upo songea bado?Acha uoga mkuu kabila halina mchango sana kwenye tabia za mtu, ili mradi umejiridhisha yupo sawa,mnapendana na kuheshimiana that's what matters.
Kila lakheri kwenu