roadmaster
JF-Expert Member
- Mar 21, 2023
- 1,484
- 2,572
Jana usiku siku ya jumamosi tarehe 9 mwezi wa Septemba nikiwa na rimoti natafuta chanel ya kuniburudisha nikajikuta najaribu kuangalia WASAFI TV nikaona wasanii wa bongo flava wakiwa Ruangwa.
Alipopanda jukwaani diamond nikiona mafuvu (skeleton) ya bandia yamezunguka jukwaani. Sijajua anamaanisha nini.
Hebu mlio karibu nijuzeni!
Alipopanda jukwaani diamond nikiona mafuvu (skeleton) ya bandia yamezunguka jukwaani. Sijajua anamaanisha nini.
Hebu mlio karibu nijuzeni!