Mlimani TV: Joseph Mbilinyi Mr II

anajenga au serikali inajenga. Aache kuwadanganya wananchi. Ametoa pesa yake mfukoni.

Amgesema tu kuwa serikali kwa ufadhiri wa benki ya dunia inajenga baraba Mbeya, Sugu hana mkono wowote kwenye ule ujenzi, na mkataba wa ujenzi ulishasainiwa kabla hajapata ubunge...
 
Amgesema tu kuwa serikali kwa ufadhiri wa benki ya dunia inajenga baraba Mbeya, Sugu hana mkono wowote kwenye ule ujenzi, na mkataba wa ujenzi ulishasainiwa kabla hajapata ubunge...

walikuwa wapi kujenga kutoka zamani? Mbunge kazi yake ni kusemea matatizo ya wananchi kasema ndiyo maana wamejenga. Kazi ya mbunge si kujenga barabara kwa pesa yake bwana.
 
Sijaona cha maana zaidi ya muendelezo wa ugomvi wao na Ruge. Huyu jamaa sijui ni lini atajitambua kuwa ni mbunge.
Kuna Professor mmoja pale Muhimbili yeye ni mkuu wa kitengo cha Psychiatric, Kutokana na watu anao deal nao, ukionana naye hakuna kitakachokuzuia kufikiri kuwa yeye si mmoja wao......
Kuna kipindi kama si mara zote ni lazima uchafuke ili usafishe
 
Kuna Professor mmoja pale Muhimbili yeye ni mkuu wa kitengo cha Psychiatric, Kutokana na watu anao deal nao, ukionana naye hakuna kitakachokuzuia kufikiri kuwa yeye si mmoja wao......
Kuna kipindi kama si mara zote ni lazima uchafuke ili usafishe

Sasa mbona wewe ndiye unayetakiwa uwahi kumuona huyo dakatari wako kwasababu umechangia vitu tofauti kabisa na mada inayojadiliwa.
 
Sasa mbona wewe ndiye unayetakiwa uwahi kumuona huyo dakatari wako kwasababu umechangia vitu tofauti kabisa na mada inayojadiliwa.
Kwa heshima na taadhima ningekuomba tu ukiri kuwa hujaelewa.
Inaonekana muundo ninaoutumia kwako ni mgumu kuuelewa lugha ni nyepesi ila style/muundo unahitaji akili ya ziada ambaya kwako labda ni gharama nyingine, sijakudharau, ila nimesema ya ziada.
Nipo ndani ya Mada ila nje ya uelewa wako.
 
Mimi nimemsikiliza, Mada ilikuwa miaka 50 ya uhuru na maendeleo ya wasanii, na ndo maana Sugu alikuwa anaongelea mambo ya wasanii tu. Binafsi alinifurahisha jinsi alivyokuwa akijibu maswali ya watazamaji kwa hoja zenye mshiko.

Hakuwa mpondaji wa kila kinachofanywa na serikali au wabunge wa CCM katika kushughulikia matatizo ya wasaniii. Yeye alisisitiza kuwa BASATA inatakiwa iwe kama regulatory body ili ivisimimamie vyama vingine kama vya taarabu, hipo hop, ngoma za asili nk.

Kimsingi alionyesha matatizo ya wasanii yanatokana na nini, walafi wachache ndo wanaofaidika na jasho la wasanii, hili ndo lonalotakiwa kudhibitiwa ili msanii awe ndiye mnufaikaji mkuu wa kazi zake. Kuthibitisha hili kwa kutoa matokeo ya utafiti uliofanywa na mchumi mmoja UDSM kuhusu kinachozalishwa na wasanii na kubainisha kuwa ni TZS billion 90 kwa mwaka, akahoji sasa hizi zinaenda wapi? mbona wasanii ni masikini tu?
 
walikuwa wapi kujenga kutoka zamani? Mbunge kazi yake ni kusemea matatizo ya wananchi kasema ndiyo maana wamejenga. Kazi ya mbunge si kujenga barabara kwa pesa yake bwana.

Nadhani huijui hii issue, mkataba wa ujenzi wa hizo barabara umesainiwa kabla ya uchaguzi mkuu wa 2010, na sasa ndio umeingia kwenye implimentation phase. Sasa kama unaamini katika mkono wa Mbunge kwa ujenzi huo basi itabidi umpongeze Benson Mpesya.

Jambo pekee liko kwenye mpango kazi wa Sugu ni ujenzi wa mabwawa ya samaki, ugawaji wa laptop moja kwa kila mwanafunzi mjini Mbeya, kuanzisha vikundi vya vijana vya kilimo cha maua, ngoja niamini kuwa ataitekeleza, bahati mbaya sana kwake hajui kujenga hoja za kuishawishi council ambayo inayoongozwa na CCM, lakini muda utaongea.

...Naona na kesho atajisifia pia kwa ujenzi wa Uwanja wa ndege wa Mbeya, atajisifia kwa usambazaji bwa mtandao wa maji ulioanza 2007, siHasa bana..
 
Nadhani huijui hii issue, mkataba wa ujenzi wa hizo barabara umesainiwa kabla ya uchaguzi mkuu wa 2010, na sasa ndio umeingia kwenye implimentation phase. Sasa kama unaamini katika mkono wa Mbunge kwa ujenzi huo basi itabidi umpongeze Benson Mpesya.

Jambo pekee liko kwenye mpango kazi wa Sugu ni ujenzi wa mabwawa ya samaki, ugawaji wa laptop moja kwa kila mwanafunzi mjini Mbeya, kuanzisha vikundi vya vijana vya kilimo cha maua, ngoja niamini kuwa ataitekeleza, bahati mbaya sana kwake hajui kujenga hoja za kuishawishi council ambayo inayoongozwa na CCM, lakini muda utaongea.

...Naona na kesho atajisifia pia kwa ujenzi wa Uwanja wa ndege wa Mbeya, atajisifia kwa usambazaji bwa mtandao wa maji ulioanza 2007, siHasa bana..

kila ki2 utampinga kwa taarifa yako kipaumbele cha sugu ni miundombinu na hili ndio alilosema hata wakati anaomba kura. Tatizo la mpesya hakuwa msemaji na mfatiliaji ndio maana miaka 10 kaka mbeya niambie kajenga barabara km ngapi? Sugu kaingia juzi utekelezaji umeanza kwa kuwa ni msemaje. Acha dhana ya kuwa madiwani hawapendi maendeleo kuwa watapinga kila ki2 akitoacho mbunge. Uliza nini kilitokea baada ya mwanjelwa na uhindini soko kuungua? Mabwawa aliahidi kama moja ya kuleta ajira mby vp hajatekeleza? Kilimo cha maua kinasubili uwanja ukamilike au umesahau hili? Kuhusu uwanja halikuwepe kwenye mipango yake kwa kuwa lipo mby vijijini. Nimesahau bandali kavu alisemea bungeni bila shaka soon itaanza kutekelezwa.
 
Rafiki Butola,inawezekana ni kweli unachoongea.mradi wa barabara upo toka 2006,lakini haukujengwa toka kipindi hicho mpaka sasa.kwa taarifa yako Mkurugenzi mpya wa jiji hilo Bw Jumma Iddy,anapingwa na wapumbavu fulani,wakiongozwa na meya wenu,kutengeneza barabara na kuweka taa.kisa sifa zitaenda kwa Sugu.kabla hajafika halmashaur ilikuwa haina pesa kabisa,lakini angalia kinachofanyika leo meya wameandika barua kuomba mkurugenz aamishwe.hata kama maendeleo hayataletwa na Sugu,kama Jumma Iddy,akiendelea kuwepo mbeya haitakuwa ilivyokuwa.
 
anajenga au serikali inajenga. Aache kuwadanganya wananchi. Ametoa pesa yake mfukoni.
Ingekua ni kauli iliyotoka kwa Mbunge wa Magamba ungemaje?Mbona kina Amos Makala wanatoa kauli kama hizo na hauwahoji?Acha UM*******Y* wewe!
 
kila ki2 utampinga kwa taarifa yako kipaumbele cha sugu ni miundombinu na hili ndio alilosema hata wakati anaomba kura. Tatizo la mpesya hakuwa msemaji na mfatiliaji ndio maana miaka 10 kaka mbeya niambie kajenga barabara km ngapi? Sugu kaingia juzi utekelezaji umeanza kwa kuwa ni msemaje. Acha dhana ya kuwa madiwani hawapendi maendeleo kuwa watapinga kila ki2 akitoacho mbunge. Uliza nini kilitokea baada ya mwanjelwa na uhindini soko kuungua? Mabwawa aliahidi kama moja ya kuleta ajira mby vp hajatekeleza? Kilimo cha maua kinasubili uwanja ukamilike au umesahau hili? Kuhusu uwanja halikuwepe kwenye mipango yake kwa kuwa lipo mby vijijini. Nimesahau bandali kavu alisemea bungeni bila shaka soon itaanza kutekelezwa.

Nadhani huna taarifa za ujenzi huo wa barabara ndio maana unakurupuka kumpa hongera Sugu kwa kazi isiyo yake, no research no right to talk.

Sugu ni msemaji na kwa usemaji wake maendeleo yanakuja mbeya? hii pia nikiri ni habari mpya kwangu na naamini kwa wengi wanaoangaliaga Bunge, nikiri sijamsikia Sugu akikomalia jambo lolote bungeni lenye maslahi na Mbeya, nikiri sijamsikia Sugu akitoa hoja za nguvu zenye hadhi ya kupewa heshima hiyo kwa maslahi ya Wana Mbeya, labda kama uwa anayaongelea akiwa Club Vibes..
 
Nadhani huna taarifa za ujenzi huo wa barabara ndio maana unakurupuka kumpa hongera Sugu kwa kazi isiyo yake, no research no right to talk.

Sugu ni msemaji na kwa usemaji wake maendeleo yanakuja mbeya? hii pia nikiri ni habari mpya kwangu na naamini kwa wengi wanaoangaliaga Bunge, nikiri sijamsikia Sugu akikomalia jambo lolote bungeni lenye maslahi na Mbeya, nikiri sijamsikia Sugu akitoa hoja za nguvu zenye hadhi ya kupewa heshima hiyo kwa maslahi ya Wana Mbeya, labda kama uwa anayaongelea akiwa Club Vibes..

haya bwana ngoja nikuache na research zako lakini tambua si kila research huwa inaleta true majibu,
kwanza nikuambie kuwa mbeya ni city ambayo ina wasanii kibao mfano wanakwaya, mziki wa kizazi kipya kumbe anavyo wasemea mjengoni ni haki yake au sio? Au hawa si wana mbeya?
Pili katika hotuba yake alishauli serikali ianze kujenga viwanja vya michezo je hili halitawasaidia wanambeya?
Tatu, mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni katika budget ya uchukuzi mbunge aliomba bandari kavu ianze kufanya kazi hii itawasaidia mama lishe, vijana kujiajiri na halmashauli kupata pesa je hii haita wasaidia wanambeya? Kama unabisha wewe ni researcher si ndio nenda kachek hansard ya bunge.
Nne.. Ninaposema kipaumbele cha sugu ilikuwa miundombinu nilimsikia mwenyewe pale golofani wakati wa kampeni alisema '' nikipita faili la kwanza litakuwa la miundombinu na kutolea mfano zitto kabwe aliweza kupata lami jimboni kwake hivyo atatumia njia alizotumia zitto''
kaka hayo ni machache 2 labda itakusaidia katika research nyingine utakayofanya. M2 hata kama haumpendi mpe muda wa kumsikiliza usiwe bias na kudharau wasanii wa mby.
 
........SUGU ni mwanaharakati wa ukweli kuna watu wanaponda lakini hawajsikiliza arguments zake...mimi ni mwanachama wa CCM lakini swala la wasanii naungana kabisa na kepteni Komba na Sugu,niliwasikiliza juzi walipokuwa BASATA maana waliungana pamoja!!..kuna wezi wanaoiba kazi za wasanii na wapo wanaonyonya wasanii kama vile clouds FM...wanapata millions katika show kama za FIESTA halafu wanamlipa msanii laki mbili...hii niliambiwa na msanii mmoja jina nalihifadhi!!...na kuna wasanii wanaimba bure kabisa katika show zao...na ukisema kidogo tu au kudai wanaahca kukuita kwenye show zao na hawapigi nyimbo zakom redioni,ni unyonyaji wa kiasi gani huu!!...RTD pia wamefanikiwa sana kwa wasanii wa zamani kwa kupiga nyimbo zao lakini hawakuwalipa na wamekufa wakiwa masikini!!.....Jamani tumuelewe SUGU na wanaharakati wengine sio kuponda tu bila kuwa na hoja za msingi....na katika mada ya Mlimani TV ilikuwa miaka 50 ya uhuru na mafanikio ya wasanii...sasa kwa nini asiseme ukweli eti kisa ni mbunge wa mBeya???
 
usingekuja kwenye post inayomuhusu Sugu ningeshangaa sana!una bahati wengi hawakujui,ila kuna siku utaanikwa then hutoamini..na mnavyoangaika kumuhujumu ishu ya nov5 ndio mana jamaa anawatukana

Mwita mbona alishasema anafanya kazi Clouds na kwamba anamuogopa sana huyo Ruge,kulikuwa na thread ya namna wanavochukuliana/share mademu pale clouds na namna kina Ruge wanavoweza kukutimua saa yoyote. so c ajabu kwake(mwita) kutetea clouds
 
Back
Top Bottom